Vituko vya magetoni

Kuna siku kakarudi wajuba walikua likizo asee siku kafungulia maana ningekuwa na twanga majii kwenye kinu
 
Hahahahah

Nakumbuka kunasiku mm na bro angu tulipata nyama pori ( chwiiiii ) vipande kama viwili hivi heavy. Tukasema tuipike yote na Kweli tukaipika yote, yaani kunukia kama kote ikaiva vzr sana. Nikampa bro wazo kwa kuwa nyama imeiva tukapige kilaji kama starter ili tukirudi tufaidi vzr kweli tukatoka piga mundende kama saa tano hv tukaanza kurudi njia nzima tunaisifia ile nyama na mm ni yue nikisikia hata manyoya yanaungua mate haya hapa (uchu kama wote). Bwana weee kufika pale tukajipumzisha kidogo manake ilikuwa hatua kidogo. Nikaingia ndani nakuta sufuria empty nikamuuliza bro kwan nyama uliitoa akasema hapana!!! Kumbe paka walipota juu ya kenchi wakaja kufanya yao hawakubakiza kitu zaidi ya tumifupa mifupa... yaani iliniuma sana mbaya zaidi siku onja haata kipande nikijua nitakuja kuitendea haki..Tulishindia mundende tu! Tukalala full masonononeko
 
Miaka kadhaa nyuma niliendaga gheto kwa wanangu jamaa mmoja alikua na birthday.. So ikafanyika kigumu (kipindi hicho viroba havijafungiwa).
Mimi situmii kilevi chochote, ila wana wote wanatumia, na time nimeenda sufuria kubwa la pilau lipo motoni, linasubiriwa liive ili tuufinye. Katika kuvuta muda jamaa wakatoa soda kama 4, nikafunguliwa ya kwanza ile nakunywa bila kujua kumbe wamechanganya viroba vya kutosha, nikaimaliza, jamaa wakanipa ya pili wakawa wananijaza upepo wananiambia we kunywa tu soda zipo za kutosha na mimi bila kushtukia nikazipiga kama nne hivi na zote walikua wananipa zikiwa zimefunguliwa huku zimechanganywa viroba bila mimi kujua.

Hata sikumbuki nililewa saa ngapi ila nilikuja kushtuka kesho yake saa 4 asubuhi, shati lote huku mbele limeloa matapishi, bukta na nguo ya ndani zote zimeloa mkojo, nilipolala napo pameloa kinoma.
Nilivyoamka hadi jamaa wakashukuru maana walijua wameua.
 
.
Nilivyoamka hadi jamaa wakashukuru maana walijua wameua.[/QUOTE]

hpa ndo paliponimaliza....dah! wajomba wakashukuru maana ilishakuwa kesi ah ah ah

Sent from my SM-J500FN using JamiiForums mobile app
 
Hatareeeh sana lol [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna jamaa bana walikua wanaishi geto wawili,mmoja mnywajii Sanaa na mtu wa mademu,siku hiyo wameenda kulaa mvinyo na kidemu Cha yule mselaa mnywajii basi bana wakarudi zao geto mida ya night kabisaa,Sasa jamaa alikuwa amelewa kweli yeye na demu wake,wakawa wanapapasana papasanaa jamaa akamuandaa demu kinomaa,kufika kula mzigo jamaa kakata motion.....kilocho jirii hapoo unawezaa jua Ni Nini?
 
Siku nyingine bana,wazee tusha pikaa ugali wachana upo chini,wanaume tunataka kulaa,msela mmoja alikuwa amelewa dah!si akakanyaga ugali
[emoji16][emoji16][emoji16] Gambe bana
 
Siku mojaa alikuja uncle kututembelea banaa,sio mkubwaa sana Kama kanipita Ni miaka mitatu,basi bana kufika gheto akakutaa siku hiyo full shangwee,watu tunakunywaa banana na tuna kisado Cha kushii kipo kwenye ungo,nyotaa za kutosa plus ma sportman,akaombaa apige pafuu tukajua ashawai ku mokuu....pafu pafuu give mzee msokoto wa kwanza,wapi....Mara tunaonaa mtu anainuka kufika mlangoni anainamaa, mshikaji wangu akamuuliza uncle VIP....hahaha akajibu mlangooo umekuwa mfupi sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…