Vituko vya maisha ya uswahilini

uswahilini usiku wanauza maharage yaliyopikwa tsh300 na chapati tsh100 ... ukiwa na buku tu unakula mpaka una saza"..... basii kuna watu huwa wanapika ugali/wali halafu mboga wanakwenda kununua maharage"..... hii hata mimi nimekula sana Aisee
Hii kila muhuni alieishi kigetogeto amepitia, Kwa bibi jongo, mama zakayo tumenunua sana visamaki na maharage!
 
kuna wale wanaoenda vibanda vya chips kuchukua maganda ya ndizi na ya mayai halafu ikifika asubuhi anafagia kutokea chumbani kwake kuelekea ukumbini ilimradi wapangaji wenzie wajue
 
kuna wale wanaoenda vibanda vya chips kuchukua maganda ya ndizi na ya mayai halafu ikifika asubuhi anafagia kutokea chumbani kwake kuelekea ukumbini ilimradi wapangaji wenzie wajue
Uuwiii. Hao ni noma.
 
uswahilini usiku wanauza maharage yaliyopikwa tsh300 na chapati tsh100 ... ukiwa na buku tu unakula mpaka una saza"..... basii kuna watu huwa wanapika ugali/wali halafu mboga wanakwenda kununua maharage"..... hii hata mimi nimekula sana Aisee
Hahahaaa umenikumbusha wakati naanza kujitegemea nilikuwa kila nikipika chakula kinakuwa kingi namwaga kesho yake sasa nikaamua kila jioni nikirudi home naenda kununua wali kwa mama ntilie au chips
 
Hahahaaa umenikumbusha wakati naanza kujitegemea nilikuwa kila nikipika chakula kinakuwa kingi namwaga kesho yake sasa nikaamua kila jioni nikirudi home naenda kununua wali kwa mama ntilie au chips
hahaa umeona mzee"", Unapata sahani ya wali ya 1200 na 1500 ....uswahilini balaa mzee
 
hivyo hivyo madame kuna visa sana".... watu wamepinda Mnoo mshipa wa haya umekatika " waweza kumkuta mama mtu mzima ana Mtusi mwanae wakumzaa tusi la nguoni" tena la kiungo chake mwenyewe
Hili niliwahi kulishuhudia kipindi naish Kigogo kwa Uncle eeeeh! Yale maisha hapana aisee, ila sometymz huwa nayamis
 
Hili niliwahi kulishuhudia kipindi naish Kigogo kwa Uncle eeeeh! Yale maisha hapana aisee, ila sometymz huwa nayamis
ni hatari chief"... kuna wakati huwa una ya miss" kwa upande wangu hapana Aisee"...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…