[emoji15] [emoji125] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] MI navuta ndogoMkuu Dar sipati picha utakuwa kauzu kiasi gani maana kuangalia maiti mda wote kunaitaji moyo nilikuwa pale Bombo hospital Dar wale jamaa wa Mortuary pale ni makauzu ile mbaya tena wanavuta sigala Kubwa
Hiyo ya kuomba simu tena kaliKufanya kazi monchwar inaitaji ujasir sana binasfi nna kakaangu alikuwa anafanya kazi huko
Kila siku alikuwa ananiambia daaaaah ile kazi bila kuvuta mmea uwezi piga
Kuna maiti zinaletwa pale zaajabu
-zingine eti zinaamka zinafanya mazoezi zikimaliza zinakufa tena
-zingine ukiziangalia sana zinaamka zinakuuliza unamuangalia nani zingine zinakukonyeza
-zingine zilikuwa zinamuomba adi simu ziwapigie ndugu zao we acha tu
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Dah mkuu acha bhana iyo kitu ni Haramu!!! Alafu nikume udaku kidogo Mkoani Mbeya kuna watu waliajiliwa Mortuary walishindwa kumaliza hata mwezi wakakimbia wakaletwa wengine wakashindwa hawakumaliza mwezi sijui kwanini lakin sasa hivi kuna majembe yapo huko yanapiga kazi kama kawaida[emoji15] [emoji125] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] MI navuta ndogo
Wa Kwanza walikosea masharti....Dah mkuu acha bhana iyo kitu ni Haramu!!! Alafu nikume udaku kidogo Mkoani Mbeya kuna watu waliajiliwa Mortuary walishindwa kumaliza hata mwezi wakakimbia wakaletwa wengine wakashindwa hawakumaliza mwezi sijui kwanini lakin sasa hivi kuna majembe yapo huko yanapiga kazi kama kawaida
Ila kazi ya Mortuary ina mambo bhana!!!!
Sijui ila nahisi walio gopa mazingira ya mochwari na aina za maiti zilizokuwa zikipelekwa hapo mortuaryWa Kwanza walikosea masharti....
Tulia basi na wewe... Khaaa!Babu upo vizuri
nasikia wahudumu akiwa binti mrembo hawachelewi kumchezeaHao wanaoonekana kupanua miguu huwa wanapanuliwa. Wahudumu wa huko sio watu wazuri.
Mmmhhh inagoma kuvaa nguo? Hahahaakuusu maiti kugomea nguo hii imekaaje?
au kugoma kuingia kwenye geneza
Maiti sio patientMshana, I respect you much brother but this is not fair, [emoji21] no health personal who is allowed kutoa izo siri ikiwa za patient, client au hata deadbody, don't act like a kid brother u are grown up enough, don't do this please...[emoji120]
Mi nimefanya kazi sana humo mortuary, na nilikuwa naweka bia zangu ndani ya Frigi za marehemu na zikipata ubaridi nakunywa taratiiiibu, ila kuna mademu bomba wanakufaga wanacheka, wakimleta bado wa motomoto dah! Ni shida![emoji15] [emoji125] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] MI navuta ndogo
Tulia basi na wewe... Khaaa!