Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Huhuhuh hii kali duh!
 
Nimekumbuka ile ground ya mwembeni au mwembe sindimba kama ulivyozoeleka kutokana na wamakonde kuutumia sana kwa ngoma zao za kimila,sasa kulikuwa na mechi ya wadada wa igumila na msufini basi mmoja katk purukushani za mchezo akakata chachandu dah .....ikawa zinamwagika kila akikimbia zinamwagika madume huku pembeni ni mbinja tu oyooooooooooooooooooooi
 
Nawajua vizuri hao mimi nilikuwa natembea free usiku nikikutana nao ni mwendo wa 5 tu kwani ni majirani zangu huhuhuhuhuuuuuuuuu
Kuna yule mpemba anauza chipsi kwenye nyumba ya akina kibesi anaitwa Dulla nadhani anakesha kuna siku night kubwa wazee wa kazi wamekosa hela wakampitia yeye na bunduki wakakomba mauzo;next day alikesha kama kawa utadhani sio yeye na akasema akienda Pemba anawamaliza!jamaa anauza chipsi balaa foleni yake noma mwenyewe alikua anaita kukupiga ganzi,ukitokea mwana anakupa chipsi za mtu anayesubir anamwambia msaidiz wake ganzi ganzi hapo wakuja haelewi anagandishwa tu
 
Mbona wengine tupo humu tunashindana kwa hoja na nyie wakishua?
Hawa watoto hawajui maisha. Kuna watu successful kibao wamekulia huko. Shule tumesoma na watoto kibao wanatoka mitaa hio na huwezi kujua tofauti hapo shuleni. Wengine mmewatungia thread humu kusifu achievement zao na wamekulia hio hip mitaa wanayosema haifai.
 
Hahaha mwembe sindimba mpaka kesho wanautumia wamakonde.hahaha umenichekesha sana.

Wale madada micharuko sana wote malaya wale
 
Babrake
 
Hahaha mwembe sindimba mpaka kesho wanautumia wamakonde.hahaha umenichekesha sana.

Wale madada micharuko sana wote malaya wale
Baada ya yule jamaa kujenga nyumba yake pale upande huu wa kina sele mbulu kwenye pagara pakabadilika sana
 
Upo nyuma ya mwananyamala hospital
 
Hiyo ndio mitaa niliyozaliwa na kukulia dah kwa sasa nna familia inantegemea na maisha yanaenda ila home sweet home napakumbuka sana kwani bado ninaenda kutembelea ndugu zangu kule nikifika wahuni wananiungia mwana mwana
 
Kinachoumiza ni kuona vijana wadogo sana wengine niliwaacha shule wengine street wamekuwa mateja .....naumia sana
 
Mangapi alishafariki kitambo tu
Exactly

Jamaa alikuwa anaitwa Mangapi, ila alikuwa brazamen flan hivi michenicheni nini jina lake akalitia swaga akawa anajiita Manga P dah...mama yake alikuwa anauza mkaa pale
 
Hapo kamanyola kuna chochoro lilikuwa refu ndo lina madirisha ya gest kuna mshkaj anaitwa ibrahim alienda kupiga chabo akakuta mama yake mzaz anasukumiwa mashine mbuz kagoma jamaa alilia kwa sauti mpaka wakasikia wahudumu
Nimecheka balaa.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uuuuwiiiiih
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…