Huhuhuh hii kali duh!Mwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.
Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.
Akaandika Chama Ha Mapundusi
Mwandiko kama bata.
Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu
"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
Profesa Vulata aliishi Komakoma, barabara ya kwenda Mwananyamala Mchangani. Ila Ofisi zake zilikuwa hapa komakoma mkabala na Jengo la NHC.Huko pia Profesa Vulata ndipo aliishi.
Vv
Nimekumbuka ile ground ya mwembeni au mwembe sindimba kama ulivyozoeleka kutokana na wamakonde kuutumia sana kwa ngoma zao za kimila,sasa kulikuwa na mechi ya wadada wa igumila na msufini basi mmoja katk purukushani za mchezo akakata chachandu dah .....ikawa zinamwagika kila akikimbia zinamwagika madume huku pembeni ni mbinja tu oyooooooooooooooooooooiHivi kuna sehemu nyingine hapa dar kuna ligi au mechi za rede za wanawake?maana hapa mtaani kuna kiuwanja utakuja masela wamejaa pembeni unaweza kuta kuna mpira kumbe kuna madem wanacheza rede tena wamevaa jezi na masela kibao pamoja na mademu wapo pembeni wanashangilia.
Kuna yule mpemba anauza chipsi kwenye nyumba ya akina kibesi anaitwa Dulla nadhani anakesha kuna siku night kubwa wazee wa kazi wamekosa hela wakampitia yeye na bunduki wakakomba mauzo;next day alikesha kama kawa utadhani sio yeye na akasema akienda Pemba anawamaliza!jamaa anauza chipsi balaa foleni yake noma mwenyewe alikua anaita kukupiga ganzi,ukitokea mwana anakupa chipsi za mtu anayesubir anamwambia msaidiz wake ganzi ganzi hapo wakuja haelewi anagandishwa tuNawajua vizuri hao mimi nilikuwa natembea free usiku nikikutana nao ni mwendo wa 5 tu kwani ni majirani zangu huhuhuhuhuuuuuuuuu
Hawa watoto hawajui maisha. Kuna watu successful kibao wamekulia huko. Shule tumesoma na watoto kibao wanatoka mitaa hio na huwezi kujua tofauti hapo shuleni. Wengine mmewatungia thread humu kusifu achievement zao na wamekulia hio hip mitaa wanayosema haifai.Mbona wengine tupo humu tunashindana kwa hoja na nyie wakishua?
Ungetandikwa bakora mkuu maana zilitembea bakora kuanzia wateja,meneja,wahudumu waliosalimika waliokuwa guest tuIle siku machale tu nilienda Golden Rose kula ila nilikua napenda kula Bakule
Hahaha mwembe sindimba mpaka kesho wanautumia wamakonde.hahaha umenichekesha sana.Nimekumbuka ile ground ya mwembeni au mwembe sindimba kama ulivyozoeleka kutokana na wamakonde kuutumia sana kwa ngoma zao za kimila,sasa kulikuwa na mechi ya wadada wa igumila na msufini basi mmoja katk purukushani za mchezo akakata chachandu dah .....ikawa zinamwagika kila akikimbia zinamwagika madume huku pembeni ni mbinja tu oyooooooooooooooooooooi
BabrakeKuna yule mpemba anauza chipsi kwenye nyumba ya akina kibesi anaitwa Dulla nadhani anakesha kuna siku night kubwa wazee wa kazi wamekosa hela wakampitia yeye na bunduki wakakomba mauzo;next day alikesha kama kawa utadhani sio yeye na akasema akienda Pemba anawamaliza!jamaa anauza chipsi balaa foleni yake noma mwenyewe alikua anaita kukupiga ganzi,ukitokea mwana anakupa chipsi za mtu anayesubir anamwambia msaidiz wake ganzi ganzi hapo wakuja haelewi anagandishwa tu
Baada ya yule jamaa kujenga nyumba yake pale upande huu wa kina sele mbulu kwenye pagara pakabadilika sanaHahaha mwembe sindimba mpaka kesho wanautumia wamakonde.hahaha umenichekesha sana.
Wale madada micharuko sana wote malaya wale
Upo nyuma ya mwananyamala hospitalMwananyamala kuna msikiti unaitwa taqwa ulikua moja ya misikiti yenye harakati na walikua ma master wa karate,akikabwa muumini mmoja basi wahuni wenyewe walikua wanawajua maana wakija wanapiga mtaa mzima na polisi wenyewe wanawaogopa.washawahi vamia baa ya bakule et yule mwenye baa aliwaalika watu wale daku baa usiku wa ramadhani hahaha ***** watu baa walichezea kichapo
YeahUpo nyuma ya mwananyamala hospital
Hiyo ndio mitaa niliyozaliwa na kukulia dah kwa sasa nna familia inantegemea na maisha yanaenda ila home sweet home napakumbuka sana kwani bado ninaenda kutembelea ndugu zangu kule nikifika wahuni wananiungia mwana mwanaKuna yule mpemba anauza chipsi kwenye nyumba ya akina kibesi anaitwa Dulla nadhani anakesha kuna siku night kubwa wazee wa kazi wamekosa hela wakampitia yeye na bunduki wakakomba mauzo;next day alikesha kama kawa utadhani sio yeye na akasema akienda Pemba anawamaliza!jamaa anauza chipsi balaa foleni yake noma mwenyewe alikua anaita kukupiga ganzi,ukitokea mwana anakupa chipsi za mtu anayesubir anamwambia msaidiz wake ganzi ganzi hapo wakuja haelewi anagandishwa tu
Yap ndio nick name yake!hivi yule dogo wa Mwanyenza bado hajaachiwa China au wavimba macho wamenyonga?Babrake
Hata Dr Matunge wa Matunge herbalist clinic alikuwa Mwananyamala si mbali sana na Mwananyamala .
ExactlyMangapi alishafariki kitambo tu
Kwani kuna shida gani nilivyotoa hilo sahihisho mpaka uniite hilo jina? Au ndo unataka kuonyesha jinsi ulivyo huna akili. Acha uquma wewe hapa kila mtu ana uhuru wa kuandika....huu uzi mang'ombe wenzio wanaugwaya,
.usidhani hawauoni we ng'ombe!
Nimecheka balaa.Hapo kamanyola kuna chochoro lilikuwa refu ndo lina madirisha ya gest kuna mshkaj anaitwa ibrahim alienda kupiga chabo akakuta mama yake mzaz anasukumiwa mashine mbuz kagoma jamaa alilia kwa sauti mpaka wakasikia wahudumu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uuuuwiiiiihMwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.
Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.
Akaandika Chama Ha Mapundusi
Mwandiko kama bata.
Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu
"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"