Elections 2010 Vituko vya uchaguzi 2010


Hivyo ndo vituko vya uchaguzi wa mwaka huu na kisha wakampigia magoti ili aokoe jahazi.
 
ATI DR. SLAA HANA MAKAZI YA KUDUMU

Wakuu kuna maneno yanayosemwa kuwa ati Dr. Slaa tangu aachane na upadri ameshindwa kuwa na makazi ya kudumu yaani ameshindwa kujenga nyumba si kijijini kwa baba yake, Karatu Mjini, Dodoma wala Dar.

Kwa mujibu wa wanayoyasema maneno hayo ni kuwa, pengine ni kutokana na utamaduni na imani wanayojengewa watawa na mapadri kuwa huna haja ya kuwa na makazi ya kudumu kwa kuwa binadamu hadumu duniani, ndio maana Dr. ameshindwa kujenga nyumba katika maeneo tajwa hapo juu.

Wasemaji hao wanadai kuwa katika kuthibitisha hoja yao, hata Dr. alipoamua kumchukua Josephine mazima hakumpeleka kwake badala yake alimkodishia appartment kitendo kinachothibitisha kuwa hana makazi yake rasmi.

Wakaenda mbali zaidi na kusema kuwa hata anapokuwa Karatu hufikia katika Hostel zinazomilikiwa na Kanisa mojawapo la mjini Karatu.

Du!!!! Kama ni kweli basi itakuwa ni bonge la soo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…