Katika kura za maoni za CCM, nec ilimuondoa Bashe hali iliyozua mazungumzo haya:
Swali; Mbona mmemuondoa Bashe kwa kigezo cha kutokua raia wakati uhamiaji wamethibitisha yeye ni raia halali
Jibu; Uhamiaji hawana data za ukweli kama sisi na ni wababaishaji
Swali; Wazee wamesema kuwa MKULO si raia halali wa Tanzania, mnalizungumziaje hilo
Jibu: Hilo si kweli kwani Mkulo ni raia halali wa Tanzania hata uhamiaji wamemthibitisha
Kaaazi kweli lweli:biggrin1: