bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,646
Mbona unakunywa chai peke yako lakini?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]gaiiiiii kwa hii picha niliyonayo hapa kichwani Mungu tu anisaidie itoke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alikamuliwa juisi ya miwaaa woiiiiiiiiii wozeeewer
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa [emoji23]
Mchezo wa wakubwa unachezwa na wakubwa [emoji6]Wakubwa wanafaidi watu kama nyinyi
Acha nile kwa jf tuMchezo wa wakubwa unachezwa na wakubwa [emoji6]
[emoji23][emoji23][emoji23]Acha nile kwa jf tu
Hahahahahaha vidonda vya tumbooo.....nimelala na lichupa la chai kila kitu njaa ikiuma usiku naamka nakula nalala...vinanisumbua sana
Naamini ledada mutu ya mungu[emoji23][emoji23][emoji23]
Pole [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hery umenifurahisha sana asee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naamini ledada mutu ya mungu
Utanioneapo kahuruma
Na mimi nipate wewe sheriiii tukatomboke
Ujue hii usiku mwema kama ya tano hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hery umenifurahisha sana asee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usiku mwema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji124]
Duh pole sana aisee,niliwahi kuumwa tumbo nikavihisi ni hivyo vidonda basi nikapimwa vipimo lundo FBP,Ultra sound,Barium meal ila cha mwisho Endoscorpy ilibidi nikimbie maana nilitishiwa kuwa kinauma sana but nashukuru havikuwa vyenyewe maana lilipona na halijaniuma tena mwaka wa 6 huuHahahahahaha vidonda vya tumbooo.....nimelala na lichupa la chai kila kitu njaa ikiuma usiku naamka nakula nalala...vinanisumbua sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante...na hongera kwa kweli vidonda tumboni vinasumbuaa vibayaDuh pole sana aisee,niliwahi kuumwa tumbo nikavihisi ni hivyo vidonda basi nikapimwa vipimo lundo FBP,Ultra sound,Barium meal ila cha mwisho Endoscorpy ilibidi nikimbie maana nilitishiwa kuwa kinauma sana but nashukuru havikuwa vyenyewe maana lilipona na halijaniuma tena mwaka wa 6 huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante lakini umejaribu kuvitibu imeshindikana?Ahsante...na hongera kwa kweli vidonda tumboni vinasumbuaa vibaya
Sent using Jamii Forums mobile app