Hahaha hivi kama una stress unakuwa unasonyaaa nilkuwa sjui utafiti wa wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
Bora mwanaume anayeenda Bar akaagiza maji kuliko Hawa Wa Dar...kazi kunywa Serengeti lite, Windhoek, Dompo na Saint AnnaHahahahahha umenichekesha sana alafu wanapenda kunywa bia za kikee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mbona nawaona hawa waliohamia Dom wanaaibishaaaBora mwanaume anayeenda Bar akaagiza maji kuliko Hawa Wa Dar...kazi kunywa Serengeti lite, Windhoek, Dompo na Saint Anna
Hao nao ni ugonjwa kama yalivyo magonjwa mengine ujuayo😀
Watu tumechanjiwa muku mkuu.Hao wanaume ni wa Dar kimoko tu chali!...kuja huku usambaani kama hujavaa vyupi kichwani! 😀😉(Jokes)
Goli la kwanza nusu kikombe, la pili vijiko vitatu vya chai hapo lazima papuchi itokote mzee
Hongeraa alafu watu huwa wanatukana mapenzi ni kama kuchagua nguo mtumbani10 wa 4 wakiwemo single mothers na 6 mabinti vigori...mwisho uyo wa kumi ndo wife...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sitaki kesi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao nao ni ugonjwa kama yalivyo magonjwa mengine ujuayo😀
Hahahahhaha uwii wewe kibokoGoli la kwanza nusu kikombe, la pili vijiko vitatu vya chai hapo lazima papuchi itokote mzee
Na wewe ungemfinyia kwa ndani, hapo ngoma ungekuwa droo kwa droo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]3.Huyu alikuwa kiboko hajui kupapasa eti ananifinyafinya mwilini jamani khaaaa alikuwa ananikera akikushika kiuno atakufinyafinya kama nini!
Hahahah alikuwa ananipoteza mzuka bhn siyo kwa kunifinya kuleeeNa wewe ungemfinyia kwa ndani, hapo ngoma ungekuwa droo kwa droo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watu noma wanasambaza minuso hatariNimejaribu kuacha kuandika matukio mbali mbali ya maisha niliyopitia lakini nimeshindwa jamani.
Sema na nyie wanajf mna matusi mnakera kweli badala mkae hapa msome viroja mnaanza tena kunishauri wakati yalishapita zamani mtabadilishaje sasa mxeeew
1.Mwanaume huyu wakati tunataka kuingia kunako mahabaa alikuwa ana tabia ya kunusa kwanza chupi zangu ili apate mzukaaa.
Siku tuliyoachana ni siku ambayo alisema niache kwake chupi niliyovaa eti anajisikia vizur kunusa nusa.
Nilimnyima na tukaachana kabisa mpaka nilihisi huyu ana utajiri wa Masharti labda kunusa kyupi za wapenzi wake ndo anazid kupata madorali.
2.Huyu mwingine jamani alikuwa akitaka kuninyonya chuchu mweewwh kama anang'ata jamani weeeeh utazani anakula supu ya utumbo wa ng'ombe ambao haujaivaa ukitoka hapo chuchu zinawaka moto ptuuuuuuu.
3.Huyu alikuwa kiboko hajui kupapasa eti ananifinyafinya mwilini jamani khaaaa alikuwa ananikera akikushika kiuno atakufinyafinya kama nini!
4.Vunja rekodi huyu kaka alikuwa ananilamba mwili mzima kuanzia miguuni mpaka kichwani na mimate ananitemea nikitoka hapo hakuna haja ya kuogaa jamani masikio yanaziba kabisaa. Nikahisi natembea na binadamu nyoka Swila.
Hitimisho:
Siku zote najua hakuna mwanaume au mwanamke aliyewahi kuwa na mpenzi mmoja so sitaki shoboooo kama wewe unaona aibu kutaja umetembea na wanaume au wanawake wangapi kivyakooooo mxeew.
Sent using Jamii Forums mobile app