Hii comment na hiyo Avatar yako nimejikuta nacheka tu.Ukimaliza hiyo weka na vituko vya wanawake tuone
Wahindi hawajaligi kila kituHata hua hatujijali afya zetuView attachment 1256685View attachment 1256686
RIP in advance!
Huo ni unyanyasaji wa kijinsiaMwanaume hakui.. mwanamke anawahi kujitambua akiwa mdogo.. 12yrs
Mwanaume hadi 30 huko.View attachment 1256705View attachment 1256706
Hahahaaa ndo kazi zetu wanaume kuwaweka mpendeze
Mbona naona picha nyingi ni za wanaume mabeberu wa kwetu naona moja au macho yangu hayaoni vizuriWanaume tu majasiri mno
Naomba niishie hapa..nitakufa kwa kucheka
Imagine huyu ndio injinia anaenda kaziniView attachment 1256695
Hapana nini sasa..