Vituko vya wasomi kwenye mtandao: Unajiita CPA Mwakipesile, je ni sahihi?

Vituko vya wasomi kwenye mtandao: Unajiita CPA Mwakipesile, je ni sahihi?

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Habari wadau,

Nimeona watu wengi kwenye mtandao wanapenda onesha status zao za elimu. Je, ni sahihi au?

Maana najua mitandao inaleta dili nyingi za biashara na mengineyo.

Je, kujiweka status yako ya elimu kama una masters, PhD, CSP, CPA, Engineer ni sahihi hasa instagram?

Maana nimeona mdau comment kwenye page sehemu simjui na anajiita CPA John Mwakipesile.

Je, CPA nayo ni kama Engineer flani flani au kama Dr flani flani au Profesa flani flani.

Je, kina Dewji waliosoma Georgetown university na wengineo waliosoma IST na vyuo vya ukweli kama kina Awadh Lake oil, watoto wa Murzah oil, sumaria group, kina Ruge waliosoma California, kina Kelvin Twissa, etc wanakosea kutoweka status zao za elimu mitandaoni hasa instagram.

IMG_20180422_214516_edit.png
 
Ushamba mwingine mzigo,eti mtu anakuja kutuuliza humu ni sahihi Dr au Engineer kujiita hivyo?afu anaona ni kituko

Kwa hiyo kama dewji hajiiti hivyo ndiyo iweje. Is dewji benchmark?

Nimeuliza tu. toa maelezo kwa hoja sio matusi tusiojua tujifunze.

Maana wengine hatujapata nafasi ya kusoma
 
nimeuliza tu. toa maelezo kwa hoja sio matusi.. tusiojua tujifunze..

maana wengine hatujapata nafasi ya kusoma
Kwa sababu hujapata nafasi ya kusoma (kama unavyotaka kutudanganya) ndio maana huoni umuhimu wake!!

Anyways, mimi ni Eng. Upepo wa pesa!!
 
habari wadau..

nimeona watu wengi kwenye mtandao wanapenda onesha status zao za elimu.. je ni sahihi au??

maana najua mitandao inaleta dili nyingi za biashara na mengineyo.. je kujiweka status yako ya elimu kama una masters, phd, csp, cpa, engineer ni sahihi.. hasa instagram...

maana nimeona mdau comment kwenye page sehemu simjui na anajiita cpa john mwakipesile...

je cpa nayo ni kama engineer flan flan au kama dr flan flan au proff flan flan...

je kina dewji waliosoma georgetown university na wengineo waliosoma ist na vyuo vya ukweli kama kina awadh lake oil, watoto wa murzah oil, sumaria group, kina ruge waliosoma california , kina kelvin twissa, etc wanakosea kutoweka status zao za elimu mitandaoni hasa instagram
Mtumwa hujugamba sana
 
Nitoe maoni yangu tu
1. Maprofesa na madokta wa falsafa unapotaka kuwaita majina yao ni lazima uanze na Dr.Omar Ally Juma,Dr.Omar Kizango, Professa Mussa Assad. Sasa sijui nao huo ni ulimbukeni au laa inategemea akili yako ina uelewa gani kuhusu hii.
2. Kuna maengineer,madokta na manesi wamesomea,sasa sijui nikiita Engineer John ntakuwa limbukeni au ushamba. Au kumwita daktari wa hospitalini dokta badala ya jina sijui tuite ushamba au ulimbukeni.
Nachokifahamu mtu mwenye kiwango flani cha elimu kulingana na anachokisomea anakuwa addressed kulingana na taaluma yake. Kama ni ulimbukeni basi ulimbukeni huo tuanze nao kwenye alichokisomea
Nawasilisha
 
Kwa professional accountants ni sahihi kujiita hivyo kwa kuanzia na tittle ya CPA kisha linafuata jina la mhusika. Kama professions nyingine kama Doctors na engineers.
 
Back
Top Bottom