Vitunguu maji.

plainpaper

Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
71
Reaction score
60
Nina wazo la kuilima vitunguu maji, nipo kanda ya ziwa (ng'wanza), nina wazo la kulima vitunguu maeneo ya Magu karibu na mto simiyu, changamoto ninayoiona ni usitawi wa zoa hili katika eneo hili kwa sababu udongo wa pale ni mfinyanzi(mbuga) ambayo hupasuka akati wa ukame. Naomba ushauri nifanyeje kurutubisha udongo ule
 
Ndo ardhi ilivyo mkuu ndo rutuba yake hiyo huna haja ya kuongeza rutuba labda booster na madawa mengine.
 
Mbuga inafaa nsumba ng'wiyo lima tu huku manyara na singida tunalima hivyo ila angalizo km ni vitunguu vya masika kwa maeneo yenye mvua nyingi kwa mbegu km red bombay na red creole huwa vinaharibika labda upande kaki fahari ya singida kile kitunguu kinakuliza wakati unakikata lakin hakimtupi mkulima sema bei yake ni chini kidogo

PIA HIYO MBUGA HAITAKIWI KUA INALAZA MAJI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…