RJ45
JF-Expert Member
- May 20, 2014
- 340
- 117
habari zenu wakuu!
nimekuwa nikifuatilia mjadala wa tofauti kati ya unleaded petrol na super/premium unleaded petrol nikagundua super unleaded ni nzuri kutumia kwa gari yoyote huku ikiwa na faida nyingi. naomba kufahamishwa kwa hapa tanzania ni kampuni gani au vituo vya mafuta vinauza hii super unleaded petrol.
nawasilisha
nimekuwa nikifuatilia mjadala wa tofauti kati ya unleaded petrol na super/premium unleaded petrol nikagundua super unleaded ni nzuri kutumia kwa gari yoyote huku ikiwa na faida nyingi. naomba kufahamishwa kwa hapa tanzania ni kampuni gani au vituo vya mafuta vinauza hii super unleaded petrol.
nawasilisha