Vituo maarufu kwa wasafiri wa mabasi...

Umesahau route ya Zenji mkuu! Pale kigamboni ni balaa!

ha ha ha ha..pana mautani pale..ruti ya dar to tabora via treni kuna saranda..pale manyoni! nyama za njiwa ni lukuki...
 
Umesahau route ya Zenji mkuu! Pale kigamboni ni balaa!

ha ha ha ha..pana mautamu pale..ruti ya dar to tabora via treni kuna saranda..pale manyoni! nyama za njiwa ni lukuki...
 
gongo lamboto to kisarawe kituo chetu pugu...
 
ha ha ha ha! mkuu kabanga kutoka buguruni hadi kisarawe kuna umbali gani?

hamna umbali?
Unataka useme pamekua karibu kama kariakoo na karume watu wanatembea kwa miguu?
 
Last edited by a moderator:
Ukitoka Arusha kwenda Musoma kuna sehemu huko mbugani panaitwa Seronera ni soo kwa nyama za kuku. Ukitoka Dar kwenda Moshi/ Arusha kuna Highway hotel ambayo kiukweli wanaelekea kuwafunika wale waarabu wa Liverpool kina Mohamed Ferej.

Mkuu hii Seronera bado ina kuku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…