Offline User
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 3,828
- 2,393
Ukitoka Arusha kwenda Musoma kuna sehemu huko mbugani panaitwa Seronera ni soo kwa nyama za kuku. Ukitoka Dar kwenda Moshi/ Arusha kuna Highway hotel ambayo kiukweli wanaelekea kuwafunika wale waarabu wa Liverpool kina Mohamed Ferej.
Mkuu hii Seronera bado ina kuku?