Misa ya pili
Member
- Mar 24, 2023
- 85
- 170
Miaka 2 iliyopita baada ya kuapishwa Rais Samia, TAMISEMI chini ya Bashungwa walianzisha ujenzi vya vituo vya afya na zahanati kila kijiji na pesa kupelekwa katika kila halmahsauri vikitakiwa vianze kutumika kabla ya mwezi wa 11, 2022 lakini mpaka sasa ni mwiba mchumngu.
Halmashauri nyingi miradi imesimama na pesa zimekwisha mil 500 kwa vituo vya afya, na cha ajabu zaidi watumishi walishapangiwa vituoni tangu mwezi wa 7, 2022. TAMISEMI chini ya Waziri Kairuki hili mkaliangalie vipaumbele vya halmashauri ni vipi kama sio afya na elimu.
Halmashauri nyingi miradi imesimama na pesa zimekwisha mil 500 kwa vituo vya afya, na cha ajabu zaidi watumishi walishapangiwa vituoni tangu mwezi wa 7, 2022. TAMISEMI chini ya Waziri Kairuki hili mkaliangalie vipaumbele vya halmashauri ni vipi kama sio afya na elimu.