DOKEZO Vituo vya Afya havijakamilika, Halmashauri hazina majibu

DOKEZO Vituo vya Afya havijakamilika, Halmashauri hazina majibu

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Tamisemi pamoja na Wizara ya Afya kuna tatizo sugu ambalo naona linatafuna halmashauri nyingi nchini ' KUTOKUKAMILIKA KWA VITUO VYA AFYA KWA WAKATI.

Mwaka jana mwezi wa 8 Mh Rais mama yetu mpendwa mama SAMIA SULUHU HASSAN alitangaza ajila kwa watumishi wa afya na walimu cha kushangaza sasa watumishi wa afya wengi wamelipoti vituo vya kazi bila kukuta vituo na kusababisha usumbufu mkubwa kwa watumishi kama vile

1. Kupangiwa vitu vingine na halmashauri ambavyo sio vile walivyopangiwa na wizara husika.

2. Kupangiwa vituo binafsi yani wanafanya kazi kwenye vituo sio vya serikali na wanalipwa na serikali.

3. Vituo mama walivyopangiwa kufanya kazi vikiwa avina majibu vitamilika lini mifano ipo
mfan halmashauri ya ifakara mji vituo vyote vya afya avijakamilika

Hitimisho; TAMISEMI NA wizara ya afya angalieni tatizo maana wananchi wanasubili huduma kwenye vituo vya afya taribani miaka 3 sasa tanga ujenzi uanze na watumishi mh RAIS amewaleta shinda iko wapi
waziri kairuki na mh ummy mwalimu
 
Tamisemi pamoja na Wizara ya Afya kuna tatizo sugu ambalo naona linatafuna halmashauri nyingi nchini ' KUTOKUKAMILIKA KWA VITUO VYA AFYA KWA WAKATI.

Mwaka jana mwezi wa 8 Mh Rais mama yetu mpendwa mama SAMIA SULUHU HASSAN alitangaza ajila kwa watumishi wa afya na walimu cha kushangaza sasa watumishi wa afya wengi wamelipoti vituo vya kazi bila kukuta vituo na kusababisha usumbufu mkubwa kwa watumishi kama vile

1. Kupangiwa vitu vingine na halmashauri ambavyo sio vile walivyopangiwa na wizara husika.

2. Kupangiwa vituo binafsi yani wanafanya kazi kwenye vituo sio vya serikali na wanalipwa na serikali.

3. Vituo mama walivyopangiwa kufanya kazi vikiwa avina majibu vitamilika lini mifano ipo
mfan halmashauri ya ifakara mji vituo vyote vya afya avijakamilika

Hitimisho; TAMISEMI NA wizara ya afya angalieni tatizo maana wananchi wanasubili huduma kwenye vituo vya afya taribani miaka 3 sasa tanga ujenzi uanze na watumishi mh RAIS amewaleta shinda iko wapi
waziri kairuki na mh ummy mwalimu
Common denominator =234
 
Back
Top Bottom