Ingekuwa kupandisha bei zingepanda saa 6 usikuKuna shida gani?
Maana vituo vya Mafuta vunauza Bei ya Zamani.
Kuna mgomo?
Kwani stock ya zamani imesha isha au wapenda wapate hasara, suburi walete mzigo mpya wenye ruzuku ya serikaliKuna shida gani?
Maana vituo vya Mafuta vunauza Bei ya Zamani.
Kuna mgomo?
Jana watu walijua mafuta yatashuka, so hakukuwa na papara ya kujaza matanki ya magari ambalo ni pigo kubwa kwa hawa jamaa, mwezi uliopita baada ya kujua mafuta yatapanda wakagoma hata kufunga vituo wakisubiri saa sita ,hivyo acha na wao ile kwao.Kuna shida gani?
Maana vituo vya Mafuta vunauza Bei ya Zamani.
Kuna mgomo?