Hivyo vituo vya mafuta vyenye majina yasiyoeleweka vinamilikiwa na mawaziri na baadhi Yao tunawajua Kwa majina Yao na vituo vyao...
Wabongo Kama tungekuwa na elimu ndogo juu ya hivi vituo vya kifala vya kuuza mafuta tusingetumia hayo mafuta machafu.
Shida IPO kwetu watumiaji tunaweka Tu mafuta ilimradi pameandikwa petrol, Tanzania tuna vituo vichache Sana wanauza mafuta mazuri