Vituo vya ujasiriamali

Vituo vya ujasiriamali

Naomba kujua sehemu ambayo mafunzo ya ujasiriamali yanatolewa.

Mkuu hakunaga mafunzo ya Ujasirimali na Ujasirimali haufundishwi kinacho fundishwa ni elimu ya biashara, au ujuzi wa kutengeneza kitu fulani, Ila ujasirimali kama ujasirimali haufundishwi na si Tanzazni tu bali ni Dunia nzima.
 
watafute ujasiriamali kwanza mara nyingi hujitangaza kulpitia redio praise power na wapo fm utajua wako sehemu hipi

Hao wanafanya biashara tu na wao wanafanya ujasirimali, Ni vigumu sana kufundisha ujasirimali kwa sababu ujasirimali ni hari na wewe kuwa mjasirimali hakuhitaji kwenda kozi, ila wewe kama kufanikiwa kunahitaji kwenda kozi, watu wamekuwa wanapotoshwa na semina sijui za kutengeneza sabani mara sijui mafuta,

Kama wewe hujajitoa, hata ukihidhuria semina 1000 ni bure,
 
Mkuu hakunaga mafunzo ya Ujasirimali na Ujasirimali haufundishwi kinacho fundishwa ni elimu ya biashara, au ujuzi wa kutengeneza kitu fulani, Ila ujasirimali kama ujasirimali haufundishwi na si Tanzazni tu bali ni Dunia nzima.
Mkuu..
Nakumbuka niliwahi fundishwa course ya entrepreneurship kipindi niko chuo, ulivyoandika hiki kitu umenishtua sana. Au entreprenourship sio ujasiriamali? sababu ilikua ni course tena ina unit 2. Semester nzima tulisoma na kufanyia UE.
 
Mkuu..
Nakumbuka niliwahi fundishwa course ya entrepreneurship kipindi niko chuo, ulivyoandika hiki kitu umenishtua sana. Au entreprenourship sio ujasiriamali? sababu ilikua ni course tena ina unit 2. Semester nzima tulisoma na kufanyia UE.

Mkuu hata mimi nimeisoma yaani nimesoma miaka 3, ila ukweli ni kwamba Ujasirimali haufundishwi, na wewe unaweza ukawa shihidi baada ya kusoma je uliweza kubadili fikra? ninavyo jua pale hufundishwa kozi kama Marketing, Business planin, busniess grow, na kazalika, na si kwamba hizi kozi ndo ujasirimali, na hapa nin jina kwa sababu utaona wanao soma Business Admnistration au Business Managment vitu wanavyo soma ni hivyo hivyo wanavyo soma wanao soma full Intreneurship, Ki usahihi inatakiwa iwe Business study.
 
Mkuu hata mimi nimeisoma yaani nimesoma miaka 3, ila ukweli ni kwamba Ujasirimali haufundishwi, na wewe unaweza ukawa shihidi baada ya kusoma je uliweza kubadili fikra? ninavyo jua pale hufundishwa kozi kama Marketing, Business planin, busniess grow, na kazalika, na si kwamba hizi kozi ndo ujasirimali, na hapa nin jina kwa sababu utaona wanao soma Business Admnistration au Business Managment vitu wanavyo soma ni hivyo hivyo wanavyo soma wanao soma full Intreneurship, Ki usahihi inatakiwa iwe Business study.

Safi mkuu,

Tusaidie na maana ya mjasiriamali maana naona kama neno limetumika sana kisiasa............ MJASIRIAMALI NI NANI HASA?
 
Mkuu..
Nakumbuka niliwahi fundishwa course ya entrepreneurship kipindi niko chuo, ulivyoandika hiki kitu umenishtua sana. Au entreprenourship sio ujasiriamali? sababu ilikua ni course tena ina unit 2. Semester nzima tulisoma na kufanyia UE.
Ni shida sana mkuu mambo ya "Are entrepreneurs Born or Made?"
 
Back
Top Bottom