Car4Sale Vitz RS million 3.9

Yani vitz namba B tena rangi ya kijani unauza 3.9m? Ninyi ndo mnataka tuseme alaf mje hapa mseme tunawaharibia biashara. Madalali tatizo lao hawaangalii hata upepo wa soko. Hivi kweli leo tupo namba E wew unakuja na vitz namba B et unataka 3.9.
 
Yani vitz namba B tena rangi ya kijani unauza 3.9m? Ninyi ndo mnataka tuseme alaf mje hapa mseme tunawaharibia biashara. Madalali tatizo lao hawaangalii hata upepo wa soko. Hivi kweli leo tupo namba E wew unakuja na vitz namba B et unataka 3.9.
Imeshauzwa sasa[emoji23]

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…