hiyo namba ya Yard wee piga tu.
Sio kwa bei hiyo. Yan Vitz keshaitumia for two years and more afu bado anauza kwa bei ya kutoa Japan? Anauzia tamaa...Gari Nzuri SANA natumai utapata mteja wa kweli na mwenye kuhitaji
OVA
kila lakheri katika kuuza hiyo gari me ninayo namba A ila bado iko nzima sana nimenunua gari zingine lakini ki vits sikiudhi ng'o mpk kinifie niuze chuma chakavu mjapani aligundua gari nzuri sana isiyokula wese
Maongezi lazima yapo mkuu au hiyo bei ni fixedSio kwa bei hiyo. Yan Vitz keshaitumia for two years and more afu bado anauza kwa bei ya kutoa Japan? Anauzia tamaa...
Umeonaee! Mi ninacho namba B Nikikipiga mafuta full tank ya elfu 60 mpaka nasahau na ka kwangu siuzi Ng'ooo! Vitz nomaGari Nzuri SANA natumai utapata mteja wa kweli na mwenye kuhitaji
OVA
NI GARI NZURI SANA MKUUUmeonaee! Mi ninacho namba B Nikikipiga mafuta full tank ya elfu 60 mpaka nasahau na ka kwangu siuzi Ng'ooo! Vitz noma
MIMI leo nimeletewa namba A wanauza wanataka mln 4.2,kako vizuri sanAaUmeonaee! Mi ninacho namba B Nikikipiga mafuta full tank ya elfu 60 mpaka nasahau na ka kwangu siuzi Ng'ooo! Vitz noma