Anaitwa Bunju sio bungu [emoji2954][emoji2954]Anaitwa Bungu kiswahili. Haliwi na chochote huyo samaki wa baharini
Nadhani namba moja alipaswa awe BINAADAM.
Siamini mkuu kweli anasumu huyu ?Black widow spider huyu kama kajificha kwenye kiatu chako uanze kusali sala za mwisho tu View attachment 1115956
11. CHAMA CHA MAPINDUZI
X ya jembe na nyundo [emoji23][emoji1787]Ama kweli hii sasa inatisha, na itaua wengi sana hapa Tanzania. ungeweka basi picha ya hicho chama maana hao viumbe wengine picha zao zimewekwa.
11. CHAMA CHA MAPINDUZI
Ndio ukweli huo, binaadam tuna sumu kali sana.Mmmh babe
wanawake11. CHAMA CHA MAPINDUZI
Anapatikana USA na ana maumivu makali sana zaidi ya nge ila hauwi mkuu na ana sumu kali sanaSiamini mkuu kweli anasumu huyu ?
Huyo Black widow spider anapatikana TZ hii au kanda zipi Chifu [emoji848]Black widow spider huyu kama kajificha kwenye kiatu chako uanze kusali sala za mwisho tu View attachment 1115956
Anapatikana USA na ana maumivu makali sana zaidi ya nge ila hauwi mkuu na ana sumu kali sana
Kweli namjua au ndio huyu kwenye pichaYupo mwingine anayetaka kufanana na buibui lkn rangi yake ni brown au kaki hivi, mara nyingi hupatikana maeneo ya shambani kwenye nyasi au mashineni, ni hatari sana naye
Anapatikana sana USA na maeneo ya hukoHuyo Black widow spider anapatikana TZ hii au kanda zipi Chifu [emoji848]
Kweli namjua au ndio huyu kwenye picha
Maana hata huyu ni mpole ila ana sumu kali sanaView attachment 1117890
Anaitwa brown Recluse spider huyo ni hatariNi huyo huyo, hv anaitwaje? Ana sumu hatari huyo mdudu Aiseee...[emoji15]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]11. CHAMA CHA MAPINDUZI
WOTE HAWA NI JAMII MOJA, WAMETOFAUTIANA KIDOGO SANA:King cobra hawezi kumzidi sumu black mamba