Viumbe wanaume

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Ladies please handle them with care.
Wapendeni, watiini, wafanyeni waonekane spesho.
Muonyeshe mwanaome wako jinsi unavyomuonea fahari.
Mjulishe kuwa wewe ni mwanamke mwenye bahati kwa kumpata mwanaume wako.
Usimuexpose kwa wenzako watakuibia.
 
Tunashukuru sana bujibuji huwa tunafanya yote haya ... baadhi huwa hawaelewi eti..hata uwabebe mgongoni na kuwaogesha
 
Tunashukuru sana bujibuji huwa tunafanya yote haya ... baadhi huwa hawaelewi eti..hata uwabebe mgongoni na kuwaogesha

Waweza kumuogesha, lakini kama ni kumbeba mgongoni unamaana kuwa nao wawe potable?
 
Fikiria unaamka asubuhi unaamshwa na maneno ya matamu kama hayo, au unakuta kikaratasi kwenye waleti au mfuko wa suruali yako wife kakuandikia siutakuwa unatabasamu siku nzima???
 
kwani wakitendewa haya wanona? kiumbe huyu wa ajabu anaeitwa mwanaume huwa haridhiki!
 
Katika hali ya kawaida, mtu akikutenda jambo zuri hurejeshewa zuri pia. hivo kauri hii sio sahii ya kwamba hawabebeki. Your not innovators, mnafanya bila kumaanisha, mnafanya kama mazoea. 'watch out'
 
Waweza kumuogesha, lakini kama ni kumbeba mgongoni unamaana kuwa nao wawe potable?

unambeba tu kidogo mkidondoka si ndo mahaba yenyewe jamani ..unaijifanya ooh sweet na wewe mzito jamani....kiss kiss kiss
 
Tunashukuru sana bujibuji huwa tunafanya yote haya ... baadhi huwa hawaelewi eti..hata uwabebe mgongoni na kuwaogesha

Na mayai yake mawili unayaweka kwenye kisosa unayasugua kwa kabrashi kalaiiiniii
 
Mi nilijaribu yoote hayo uliyoyataja lakini niliambulia ambayo sikuyatarajia, wanaume ni viumbe wa ajabu sana! Lakini asante kwa kumbukumbu hii, maana naweza kuitumia kwa miaka ijayo mungu akipenda!
 
Tunashukuru sana bujibuji huwa tunafanya yote haya ... baadhi huwa hawaelewi eti..hata uwabebe mgongoni na kuwaogesha


LABDA ULlMUAHIDI KUWA UNAYAWEZA MAPENZI YA KITANGA YA KUBEBANA MGONGONI.
USIAHIDI USICHOKIWEZA KUKITEKELEZA.
 
kweli ni viumbe wa ajabu - unaweza jitahidi kufanya yote hayo mwenzio ataona ni KERO - nadhani the best way ni kuona anapenda hizo treatments? kama ni mfanya biashara tajiri asiyelala masaa mengi - du! ataona unampotezea muda - (just imagining loudly)
 
mi nilijaribu yoote hayo uliyoyataja lakini niliambulia ambayo sikuyatarajia, wanaume ni viumbe wa ajabu sana! Lakini asante kwa kumbukumbu hii, maana naweza kuitumia kwa miaka ijayo mungu akipenda!


kuna mapepo wanaitwa nyumba ndogo,
hao ni noma ukizubaa kidogo wanakupiku kwa mbali kabisaa
 

Mi nilijaribu yoote hayo uliyoyataja lakini niliambulia ambayo sikuyatarajia, wanaume ni viumbe wa ajabu sana! Lakini asante kwa kumbukumbu hii, maana naweza kuitumia kwa miaka ijayo mungu akipenda!

Katika hali ya kawaida, mtu akikutenda jambo zuri hurejeshewa zuri pia. hivo kauri hii sio sahii ya kwamba hawabebeki. Your not innovators, mnafanya bila kumaanisha, mnafanya kama mazoea. 'watch out'

kwani wakitendewa haya wanona? kiumbe huyu wa ajabu anaeitwa mwanaume huwa haridhiki!

Hamjambo dada zangu?
 
Mi nilijaribu yoote hayo uliyoyataja lakini niliambulia ambayo sikuyatarajia, wanaume ni viumbe wa ajabu sana! Lakini asante kwa kumbukumbu hii, maana naweza kuitumia kwa miaka ijayo mungu akipenda!

Pole dada,si wanaume wote...binadamu tumeumbwa tofauti
 
Kuna ka-ukweli kwa mbali , kama hivi!
Before Marriage:-

He: Yes! at last it was so hard 2 wait
she: Do you want me 2 leave?
He: No! don’t even think about it
She: Do you love me ?
He: Of course! over n over!
She: Have u ever cheated on me?
He: No! y r u even asking?
She: Will u go with me on picnic?
He: Every chance I get!
She: Will u hit me ?
He: R u crazy? I’m not that kind of person!
She: Can I trust u?
He: Yes..
She: Darling!
After marriage…
Now simply read from bottom to top!​
 
Mi nilijaribu yoote hayo uliyoyataja lakini niliambulia ambayo sikuyatarajia, wanaume ni viumbe wa ajabu sana! Lakini asante kwa kumbukumbu hii, maana naweza kuitumia kwa miaka ijayo mungu akipenda!


Pole sana Syd ni pm sitokuangusha😉
 
Ladies please handle them with care.
Wapendeni, watiini, wafanyeni waonekane spesho.
Muonyeshe mwanaome wako jinsi unavyomuonea fahari.
Mjulishe kuwa wewe ni mwanamke mwenye bahati kwa kumpata mwanaume wako.
Usimuexpose kwa wenzako watakuibia.


uncle now ur going to far!nina kitchnpat ya rafiki yangu,but itabidi umfunde mumewe mtarajiwa
 
hakuna anaeridhika...kuna wanawake hata ukubaliane na u-beijing..uwe jentomen.. atataka zaidi ya hapo..!ndo yaleyale ya libwata!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…