VIVA Uda!

VIVA Uda!

BAK

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2007
Posts
124,790
Reaction score
288,165
main.jpg

VIVA UDA! In this day and age when private bus operators and schoolchildren appear to be at constant loggerheads, the erstwhile state-owned commuter bus company seems ever-ready to put social responsibility before outright profit, as shown here where pupils are allowed their own entrance door while other adult passengers rush for the other door. This scene was captured on camera in Tandika, Dar es Salaam early yesterday morning.
 
Hizi ndio karaha zakutokua wastaarabu.

Ukiangalia watu wanaotaka kuingia kwenye basi sio wengi ukilinganisha na ukubwa wa basi lakini watu wanagombania mlangoni.

Kule tulikosoma ULAYA hata kama watu ni wengi kupita basi lakini utawaona wakimwacha aliye mbele aingie kwa usalama ndio wafuate nafasi zao nao wakiachwa kuingia kwa usalama.

Itachukua muda hadi watanzania wawe wastaarabu kwenye kupanda mabasi.
 
Heee! hivi UDA imefufuliwa au?

Inaelekea hivyo Mkandara. Sikuhitaji kusoma mara mbili mbili maana hiyo rangi ya basi tu ilinihakishia kwamba hii ni 'uda mpya' kama utakumbuka ile UDA iliyokufa mabasi yake yalikuwa na rangi tofauti na hilo basi.

Ni mategemeo yangu itapewa msaada mkubwa kutoka serikalini ili kupunguza matatizo ya usafiri Dar na matatizo yanayosababishwa na daladala katika kunyanyasa wanafunzi na kuvunja sheria za barabara kila kukicha.
 
Badala ya kuwa Shirika la Umma chini ya Serikali kuu, UDA imilikiwe na Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam au iwe chini ya mkuu wa mkoa!
 
kama bado itakuwa mali ya umma itakufa tu, mafisadi watakula kila kinachokusanywa na baadaye watashindwa kujiendesha, ni vema wakafikiria kuhusu public private partinership
 
main.jpg

VIVA UDA! In this day and age when private bus operators and schoolchildren appear to be at constant loggerheads, the erstwhile state-owned commuter bus company seems ever-ready to put social responsibility before outright profit, as shown here where pupils are allowed their own entrance door while other adult passengers rush for the other door. This scene was captured on camera in Tandika, Dar es Salaam early yesterday morning.

Jamani mbona mimi naona kitu tofauti????. naona watu kama wapo kwenye biashara ya mahindi. sioni basi lolote
 
hata mimi naona mgambo wa jiji hapa anamkwida mtu anauza mahindi....au ndio UDA lenyewe hilo?
 
jana jioni lilikuwepo UDA hapa, si unajua basi lile labda limesogea kituo kingine ndiyo maana halionekani kwikwikwi
 
Jamani mbona mimi naona kitu tofauti????. naona watu kama wapo kwenye biashara ya mahindi. sioni basi lolote

Freetown upo sawa.... naona Mkuu Bubu alighafilika kidogo manake picha zote zilikuwa kwenye Thisday (nadhani nipo sawa Mkuu Bubu).... UIle ya UDA ilikuwa up to jana na leo naona wamebadilisha wameweka hiyo ya askari wa manispaa ya Ilala wakifanya manyanyaso (oops, shughuli yao ya kunyang'anya wachuuzi vilivyo vyao)....

Kurudi kwenye point kama Mkuu Darwin alivyosema "Mwanzo mgumu" wakuu... Kikubwa ni kuwapongeza UDA kwa jitihada wanayoonyesha katika swala la usafiri wa wanafunzi albeit difficulty situation waliyonayo kama kampuni!! Lakini unajua wao wakiweza pata mtirirko mzuri then watakuwa wameweka bench mark kwa wengine kufuata.... Hongereni sana Wakuu wa UDA na tunawatakia mafanikio....

Wale wa madaladala, igeni mfano uliowekwa manake hata kwenu hakuna mwanga at the end of the tunel (rapid transit project na mambo ya mabasi makubwa)... lakini hamuwezi jua kama mkiiga ya UDA na ikawa na mafanikio labda SUMATRA etc wataweza buni namna ya ku-co exist nanyi mkawemo ndani.... Just a thought!

Naomba kuwakilisha!!
 
Wewe Bubu acha ujanja, hebu rejesha ile picha tuliyokua tunaongelea.

Umetufanya tuwe wajanja sasa, siku nyingine tutazi quote post zako ili ulichoweka usibadilishe.
 
hata mimi naona mgambo wa jiji hapa anamkwida mtu anauza mahindi....au ndio uda lenyewe hilo?

labda picha ya basi ipo nyuma ya picha ya wakwidaji!!!! angalieni kwa makini hata darubini tumieni!
 
Sawa kabisa kama mlivyosema wenzangu kwamba hakuna ustarabu wa kuingia ndani ya basi ukizingatia watu ni wachache. Lakini nimeangalia na kutafakari hasa ni kwanini imekuwa hivyo, nilichokuja kubaini ni kwamba hapo wanafunzi hawaamini kama wameachiwa huru kuingia ndani ya basi wanadhani bado wako katika mapambano na "vipanya" Students are all the time alerted.
 
Sawa kabisa kama mlivyosema wenzangu kwamba hakuna ustarabu wa kuingia ndani ya basi ukizingatia watu ni wachache. Lakini nimeangalia na kutafakari hasa ni kwanini imekuwa hivyo, nilichokuja kubaini ni kwamba hapo wanafunzi hawaamini kama wameachiwa huru kuingia ndani ya basi wanadhani bado wako katika mapambano na "vipanya" Students are all the time alerted.

Huna bahati,
Ungeona hio picha ya kwanza ungejua ninachoongea.
Kugombea basi hata kama watu wachache na huku wakijua wataenea wote sio kwa wanafunzi tu.

Muambia Bubu ataka kusema arejeshe ile picha utakuja kuelewa ninachosema.

Ni tabia ambayo watanzania wameijenga sana hasa jiji la Dar.
 
Back
Top Bottom