Heee! hivi UDA imefufuliwa au?
VIVA UDA! In this day and age when private bus operators and schoolchildren appear to be at constant loggerheads, the erstwhile state-owned commuter bus company seems ever-ready to put social responsibility before outright profit, as shown here where pupils are allowed their own entrance door while other adult passengers rush for the other door. This scene was captured on camera in Tandika, Dar es Salaam early yesterday morning.
Jamani mbona mimi naona kitu tofauti????. naona watu kama wapo kwenye biashara ya mahindi. sioni basi lolote
hata mimi naona mgambo wa jiji hapa anamkwida mtu anauza mahindi....au ndio uda lenyewe hilo?
Sawa kabisa kama mlivyosema wenzangu kwamba hakuna ustarabu wa kuingia ndani ya basi ukizingatia watu ni wachache. Lakini nimeangalia na kutafakari hasa ni kwanini imekuwa hivyo, nilichokuja kubaini ni kwamba hapo wanafunzi hawaamini kama wameachiwa huru kuingia ndani ya basi wanadhani bado wako katika mapambano na "vipanya" Students are all the time alerted.