Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
-
- #41
Umesema kitu cha maana sana..waanzishe route za kuja mbezi nk..itasaidia wengi kupunguza garama za mafuta ya magari na kuleta unafuu wakati huu mgumuNawaza tu hapa kwa nini wasiweke hata route nyingine ya hizo sea taxi ili watu wanufaike zaidi?
200 Ile ile unavuka dk 3Hivi bei zake zikoje hiyo Tax?
Kuna watu hawana shukurani na watalalamika kwa lolote lile. Ndiyo hawa wanaolalamika kuhusu Azam.Mbona mie naona wako sawa tu. Vinapishana vizuri tu, halafu vya Azam havipakii magari...
Hata ununio, sea breeze au mbweni pale sio mbayaUmesema kitu cha maana sana..waanzishe route za kuja mbezi nk..itasaidia wengi kupunguza garama za mafuta ya magari na kuleta unafuu wakati huu mgumu
Mumewekewa daraja bado munalalamika kukaa foleni na gari kwa muda wa masaa 8, kwa lipi?Kabisa, watu wanahonga sana pale ili aweze kupata nafasi ya kuvusha gari, kusubiri kwenye foleni zaidi ya masaa 8 ni kitu cha kawaida sana kama una Kigari chako.
Hongera sana kaka, umefanya kazi ya TISS, wenye kazi yao wamelala.Nimepita maeneo ya feri Dar es Salaam kwa ajili ya kuvuka kwenda upande wa Kigamboni. Nilichokiona pale kwa kweli kimenifikirisha na kunitafakarisha sana na kunifanya niwaze sana juu ya mustakbali wa nchi hii.
1. Kuna dalili kampuni ya Azam imepewa dili kinyemela kufanya kazi ya kuvusha watu feri
Mwanzoni, walitupiga changa la macho eti kuna tatizo la hali ya hewa, na hivyo kivuko cha Azam kimeletwa ili kusaidiasaidia. Cha ajabu mpaka leo hii hivyo vivuko vinaendelea kufanya kazi, wakati vile vivuko vya MV Kigamboni na MV Magogoni ni vizima.
2. Vivuko vya MV Magogoni na MV vipo na vinaendeshwa polepole Makusudi ili kuvipa nafasi vivuko vya Azam
Inaelekea kuna mpango mkakati wa kuwafanya watu wavizoee vivuko vya Azam pale feri. Nilichokishuhudia, Pale kuna vivuko vinne, Viwili ni vya Azam na viwili ni vya serikali(MV Magogoni na MV Kigamboni), Cha ajabu, Vivuko vya serikali vinaendeshwa polepole kuliko ilivyokuwa zamani.
Yaani nimeshuhudia MV Kigamboni ikikaa upande wa feri kwa takriban dakika 40, bila kuondoka huku Kivuko cha Azam kikiwa kimepiga trip mbili kwenda na kurudi kigamboni. Hii kama siyo hujuma kwa Vivuko vya serikali ni nini?.
3. Maisha ya wananchi yanawekwa hatarini kwa jinsi wanavyotolewa ndani ya sehemu ya kusubiria vivuko na kupangwa nje karibu na ukingo wa maji kusubiri vivuko vya Azam
Kikawaida watu huwekwa ndani ya hall la kusubiria kivuko, kikishafika geti linafunguliwa na kivuko kikishashusha watu na Magari ndo geti linafunguliwa na watu kuruhusiwa kuingia. Cha ajabu nilichokishuhudia leo, kwa kuwa vivuko vya Azam ni vidogo basi askari anawatoa watu nje ya hall ya kusubiria watu mapema kabisa kabla watu wanaoshuka hawajaisha. Maana yake ni iwamba Ujio wa kivuko cha Azam umeondoa hata kusudio la yale mahall ya kusubirisha abiria. Na hata usalama wa Abiria.
4. Ninachokiona
Huenda Kampuni ya Azam, inapewa dili na wakubwa wachache serikalini ili itoe huduma ya kuvusha watu licha ya kuwa vivuko vya serikali vipo pale.
Kampuni ya Azam kupewa kandarasi ya kutoa huduma siyo tatizo iwapo
1. Tenda inatangazwa kwa uwazi
2. Usalama wa wanajchi unazingatiwa ipasavyo
3. Serikali inapata faida
Kilicho dhahiri inaelekea Azam ya Mzee Bakhressa inapigiwa pande kinyemela ktk hii ishu, ambayo dhahiri shahiri kuna harufu za watu kuwa na 10% zao pale.
Hapa Chini ni picha ambayo wananchi wametolewa kwenye hall ya kusubiria kivuko, wamepangwa nje foleni wakisubirie kwa nje. Hii ni hatari sana, na ni very localView attachment 2468085
Hapa Chini, Kivuko cha MV kigamboni kimekalishwa zaidi ya dakika 40, huku kikiwa na watu ndani na magari huku Kivuko cha Azam kikipiga trip tu kwenda na kurudi, Sijui hawa Azam wanalipwa kwa idadi ya Trips wanazopiga?
View attachment 2468089
Mumewekewa daraja bado munalalamika kukaa foleni na gari kwa muda wa masaa 8, kwa lipi?
Hayo masaa ungeshavuka kwenye daraja kwa kulipia 2000 ukaendelea na safari zako kwa buheri na afya. Watz mumerogwa na uliishawahi kufika hapo,na Daraja uliwahi kuliona limefikia wapi au unatumia hisia zako boga ulilobega mabegani mwako ,Tanzania hii kuna wazimu wa hali ya juu.
Daraja halijakamilika, bado lipo kwenye ujenzi na hayo malipo uliyasikia wapi au unatumia hisia zako tu kuleta maneno ya jeuri wakati watu wanateseka .Maamae kabisaMumewekewa daraja bado munalalamika kukaa foleni na gari kwa muda wa masaa 8, kwa lipi?
Hayo masaa ungeshavuka kwenye daraja kwa kulipia 2000 ukaendelea na safari zako kwa buheri na afya. Watz mumerogwa na nani?
Haviko salama, ila hivyo viboti ndiyo salama?Mv magogoni na vyezake haviko salama mtakuja zama mkakumbuka mwaka 1985 baada ya kivuko kuzama na kuua woooote
Nimejibu vizuri kabisa, wewe ndie hujaelewa kwasababu sioni pointi yenu ya msingi hapa, mmejawa na hisia tu zisizo na uthibitisho..Hujaelewa nini? Amesema kuwa kuna hujuma ya kufifisha vivuko vya umma na kuachia Azam achume kilaini. Hili jambo linaweza kuwa na ukweli ndani yake kwani hii serikali ya sasa kila mtu anashindana kupiga deal.
Nimejibu vizuri kabisa, wewe ndie hujaelewa kwasababu sioni pointi yenu ya msingi hapa, mmejawa na hisia tu zisizo na uthibitisho..
Mkisema kuna hujuma ya kufifisha, hiyo hujuma imeanza lini? kwani hivyo vyombo vya serikali havifanyi kazi sasa hivi, kama vinafanya hiyo hujuma yenu inatoka wapi? na kama vinafanya kwa kusua sua kwanini isiwe kwa sababu ya uchakavu wa miaka yote, iwe hujuma mnayoilazimisha nyie?
Mmetawaliwa na mawazo ya kupigwa ndio maana sasa kwenu kila kitu mnakichukulia kwa hofu tu, wote mnaomuunga mkono mleta mada hamna uthibitisho wa uhakika wa madai yenu, zaidi ya kuhukumu kwa hisia tu.
daraja la kurasini la Nyerere halijakamilika ujenzi wake, umelala usingizi wa aina gani?Daraja halijakamilika, bado lipo kwenye ujenzi na hayo malipo uliyasikia wapi au unatumia hisia zako tu kuleta maneno ya jeuri wakati watu wanateseka .Maamae kabisa
Nahangaika na mbeba boga Fala wa kukurupuka, mi naongelea kivuko cha busisi Kigongo Mwanza na pale daraja linalojengwa ni Daraja la Magufuli liko Mwanza. wewe uko kurasini,ndo nikasema kuna uhuni wa uliopindukia kuliko hata hapo Kigamboni, watu wanahangaika kuhonga mgambo wa Suma JKT wanaolinda pale ili wavushe magari, siku ukipita hiyo njia ndo utaelewa ninachokiandika, usome comment kwa utulivu na kuelewa sio kukurupuka na mimavi yako hukodaraja la kurasini la Nyerere halijakamilika ujenzi wake, umelala usingizi wa aina gani?
Unadhani matusi ndiyo sifa? Mjinga mkubwa wee
Mikutano ya hadhara inaenda kufumua kila uchafu na kila aliyehusikaNimepita maeneo ya feri Dar es Salaam kwa ajili ya kuvuka kwenda upande wa Kigamboni. Nilichokiona pale kwa kweli kimenifikirisha na kunitafakarisha sana na kunifanya niwaze sana juu ya mustakbali wa nchi hii.
1. Kuna dalili kampuni ya Azam imepewa dili kinyemela kufanya kazi ya kuvusha watu feri
Mwanzoni, walitupiga changa la macho eti kuna tatizo la hali ya hewa, na hivyo kivuko cha Azam kimeletwa ili kusaidiasaidia. Cha ajabu mpaka leo hii hivyo vivuko vinaendelea kufanya kazi, wakati vile vivuko vya MV Kigamboni na MV Magogoni ni vizima.
2. Vivuko vya MV Magogoni na MV vipo na vinaendeshwa polepole Makusudi ili kuvipa nafasi vivuko vya Azam
Inaelekea kuna mpango mkakati wa kuwafanya watu wavizoee vivuko vya Azam pale feri. Nilichokishuhudia, Pale kuna vivuko vinne, Viwili ni vya Azam na viwili ni vya serikali(MV Magogoni na MV Kigamboni), Cha ajabu, Vivuko vya serikali vinaendeshwa polepole kuliko ilivyokuwa zamani.
Yaani nimeshuhudia MV Kigamboni ikikaa upande wa feri kwa takriban dakika 40, bila kuondoka huku Kivuko cha Azam kikiwa kimepiga trip mbili kwenda na kurudi kigamboni. Hii kama siyo hujuma kwa Vivuko vya serikali ni nini?.
3. Maisha ya wananchi yanawekwa hatarini kwa jinsi wanavyotolewa ndani ya sehemu ya kusubiria vivuko na kupangwa nje karibu na ukingo wa maji kusubiri vivuko vya Azam
Kikawaida watu huwekwa ndani ya hall la kusubiria kivuko, kikishafika geti linafunguliwa na kivuko kikishashusha watu na Magari ndo geti linafunguliwa na watu kuruhusiwa kuingia. Cha ajabu nilichokishuhudia leo, kwa kuwa vivuko vya Azam ni vidogo basi askari anawatoa watu nje ya hall ya kusubiria watu mapema kabisa kabla watu wanaoshuka hawajaisha. Maana yake ni iwamba Ujio wa kivuko cha Azam umeondoa hata kusudio la yale mahall ya kusubirisha abiria. Na hata usalama wa Abiria.
4. Ninachokiona
Huenda Kampuni ya Azam, inapewa dili na wakubwa wachache serikalini ili itoe huduma ya kuvusha watu licha ya kuwa vivuko vya serikali vipo pale.
Kampuni ya Azam kupewa kandarasi ya kutoa huduma siyo tatizo iwapo
1. Tenda inatangazwa kwa uwazi
2. Usalama wa wanajchi unazingatiwa ipasavyo
3. Serikali inapata faida
Kilicho dhahiri inaelekea Azam ya Mzee Bakhressa inapigiwa pande kinyemela ktk hii ishu, ambayo dhahiri shahiri kuna harufu za watu kuwa na 10% zao pale.
Hapa Chini ni picha ambayo wananchi wametolewa kwenye hall ya kusubiria kivuko, wamepangwa nje foleni wakisubirie kwa nje. Hii ni hatari sana, na ni very localView attachment 2468085
Hapa Chini, Kivuko cha MV kigamboni kimekalishwa zaidi ya dakika 40, huku kikiwa na watu ndani na magari huku Kivuko cha Azam kikipiga trip tu kwenda na kurudi, Sijui hawa Azam wanalipwa kwa idadi ya Trips wanazopiga?
View attachment 2468089
Kweli kabisa MkuuHata mimi ninashangaa watu humu JF wanaotetea mambo ya upigaji na ufisadi serikalini.
Azam amepewa hii tenda kinyemela, kimyakimya na kuna dalili za 10% za wakubwa katika hii huduma wanayotoa.
Ukifika pale Feri na Kigamboni, utaiona hujuma ya wazi ambayo vivuko vya serikali vinafanyiwa ili Vivuko vya Azam vipige kazi.
Yaani, Vivuko vya serikali vinakalishwa muda mrefu bila kuondoka, ili vya Azam vipige trip nyinginyingi maana abiria wanahaulishwa kwenye vivuko vya AZAM.
Kwa kuwa wenye magari hawana namna isipokuwa kuvuka kwa kutumia vivuko vya serikali basi wanapotezewa muda sana maana vivuko vya serikali vinakalishwa mno.
Pale feri kipindi kuna vivuko vya serikali peke yake hakukuwa na kuchelewa kuvuka, ulikuwa ukifika unakaa dakika chache tu za kusubiri. Kulikuwa na vivuko vikubwa viwili, vya Mv Kigamboni na MV Magogoni. Na vyote vilikuwa vinapiga kazi simulteneously, Kila kimoja kikienda upande mmoja kinakuta abiria wa kutosha wameshakusanyika, hakikai sana. Lakini leo vinasubirishwa ili Azam abebe abiria waliokusanyika huku vyenyewe vikikaa sana.
Hapa cha kujiuliza Azam analipwa sh ngapi kila tripu?
Tenda ilitangazwa lini?
Au wanamlipa kinyemela mzee Bakhressa aliwapa nini?
Kwa sasa uhitaji wa vivuko vya AZAM unatokana na nini wakati vivuko vya serikali vipo na vinafanya kazi vizuri?
Kwamba hicho kidogo chenyewe kina guarantee ya kutokuzama?Mv magogoni na vyezake haviko salama mtakuja zama mkakumbuka mwaka 1985 baada ya kivuko kuzama na kuua woooote
Sasa wasiwasi wako uko wapi mkuu? Maana umeeleza vilevile alivyoeleza mtoa hojaNina wasiwasi na ulichoandika hapo.
Nachokumbuka vivuko vya Azam vilipewa kazi baada ya vivuko vingine kuwa matengenezoni, hivyo pakawa na uhaba wa vyombo vya usafiri, ukawepo usumbufu kwa abiria, ndipo Azam wakaombwa kutoa hiyo huduma.
Kama kwa sasa pametokea hali isiyo ya kawaida, sioni kama hilo litakuwa ni tatizo la Azam, huo ni uzembe tu wa wasimamizi wa mamlaka ya usafiri huko bandarini.
Walichotakiwa kufanya kama vivuko vingine vilishapona, ni kusitisha mkataba na Azam, lakini kuwaacha Azam waendelee ni sawa na kukaribisha vurugu, japo pia, uwepo wa Azam unasaidia kuondoa adha ya usafiri inayokuwepo eneo hilo mara kwa mara.