Viwanda ndiyo suluhisho la ukosefu wa ajira?

Viwanda ndiyo suluhisho la ukosefu wa ajira?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Japo inasemekana hali ya usalama siyo nzuri sana Afrika Kusini, bado watu wanamiminika huko kila siku iitwayo leo!

Walipokamatwa Wasomalia waliokuwa wakipita Tanzania kinyemela, walisema wanaenda Afrika Kusini! Hata Waethiiopia nao madai yao ni yayo hayo!

Ukiwauliza Watanzania wengi nchi wanayotamani kuitembelea, watakuambia ni South Africa!

Hata mimi, kati ya miji ninayoitamani kuitembelea ni CAPE TOWN ya Afrika Kusini!

Ukiacha wanaoenda kwa ajili ya matembezi, wengine karibia wote wanaenda ama kibiashara au kutafuta kazi.

Kwanini waende Afrika Kusini na siyo mataifa mengine mengi ya Afrika? Inawezekana ni kwa sababu South Africa ni industrialized country hivyo kuna fursa nyingi za ajira!

I stand to be corrected!!!
 
Ni akili za watu karirishwa ,by the way viwanda vya Sasa kazi zinafanya na machine.

Watu waambiwe kwamba shift ya Elimu iwe kwenye innovation na creativity kwenye nyanja zote za maisha, hakuna single industry ya kuwa suluhisho la unemployment maana maisha yanaendeshwa na sectorial interdependence
 
Japo inasemekana hali ya usalama siyo nzuri sana Afrika Kusini, bado watu wanamiminika huko kila siku iitwapo leo!

Walipokamatwa Wasomalia waliokuwa wakipita Tanzania kinyemela, walisema wanaenda Afrika Kusini! Hata Waethiiopia nao madai yao ni yayo hayo!

Ukiwauliza Watanzania wengi nchi wanayotamani kuitembelea, watakuambia ni South Africa!

Hata mimi, kati ya miji ninayoitamani kuitembelea ni CAPE TOWN ya Afrika Kusini!

Ukiacha wanaoenda kwa ajili ya matembezi, wengine karibia wote wanaenda ama kibiashara au kutafuta kazi.

Kwanini waende Afrika Kusini na siyo mataifa mengine mengi ya Afrika? Inawezekana ni kwa sababu South Africa ni industrialized country hivyo kuna fursa nyingi za ajira!

I stand to be corrected!!!
Viwanda hivi ambavyo mshahar n 4k kwa siku au viwanda gan mkuu?
 
Back
Top Bottom