Viwanda Vidogo Katika Level ya Kimataifa

Viwanda Vidogo Katika Level ya Kimataifa

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Kwenye masoko ya kimataifa, kuna bidhaa nyingi ambazo hazitengenezwi na viwanda vikubwa. Mifano michache ni pamoja na spare parts mbalimbali za magari, mipira, viatu, na nguo za kuvaa. Kwa nini Tanzania hatutoboi katika viwanda vidogo vya namna hiyo na kuingia kwenye masoko ya dunia? Tumeng'ang'aia bidhaa za mashambani tu.





 
Wenzetu wapo mbali na wamepunguza utegemezi wa kuagiza vitu nje.
Hata thailand wanaunda hadi mabus classic kwenye garage za chini ya mti
 
Back
Top Bottom