A
Anonymous
Guest
Hivi viwanda vipo Iringa na Njombe. Wanakata milingoti sana na wanaharibu mazingira. Wafanyakazi hatuna mikataba anakufukuza muda wowote kwa chochote.
Assume wazee wetu walipanda miti ili watoto tufaidike, anafaidika mchina.
Kwa siku kiwanda kimoja wanaweza kata miti zaidi ya 400 na viwanda vipo zaidi ya 4.
Tunasikia kuwa walifukuzwa congo kisa kumaliza miti.
Assume wazee wetu walipanda miti ili watoto tufaidike, anafaidika mchina.
Kwa siku kiwanda kimoja wanaweza kata miti zaidi ya 400 na viwanda vipo zaidi ya 4.
Tunasikia kuwa walifukuzwa congo kisa kumaliza miti.