Viwanda vya nondo Mwanza, Pwani na Dar wanalipa kiasi gani kwa siku?.

Viwanda vya nondo Mwanza, Pwani na Dar wanalipa kiasi gani kwa siku?.

Mropoka Hovyo

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2023
Posts
446
Reaction score
1,253
Ok straight to the point. Hivi viwanda vya nondo katika mikoa ya Mwanza na Dar wanalipa kiasi gani kwa siku?. Kwasasa nipo Nzega Tabora, Sehemu ya kufikia kwenye hayo majiji ninayo.

NB: Nimejaribu kuulizia kwa masela nao hawajui, nikaona niulize shida yangu hapa.
 
Ok straight to the point. Hivi viwanda vya nondo katika mikoa ya Mwanza na Dar wanalipa kiasi gani kwa siku?. Kwasasa nipo Nzega Tabora, Sehemu ya kufikia kwenye hayo majiji ninayo.

NB: Nimejaribu kuulizia kwa masela nao hawajui, nikaona niulize shida yangu hapa.
Wanalipa kuanzia elfu 15 na kuendelea.

Ila mikiki mikiki yake si mchezo.
 
Ok straight to the point. Hivi viwanda vya nondo katika mikoa ya Mwanza na Dar wanalipa kiasi gani kwa siku?. Kwasasa nipo Nzega Tabora, Sehemu ya kufikia kwenye hayo majiji ninayo.

NB: Nimejaribu kuulizia kwa masela nao hawajui, nikaona niulize shida yangu hapa.
10000 per day hadi 20000! Lakini unaweza iba nguo zako 😂😂😂😂😂
 
10 to 15 ila ukifanya mfululizo week we kidume utaiva maini , bira ukaive mapafu kuna hizi za chokaa pale ubungo wallputty wanalipa vizur ila sijui kama wnaitaji watu
 
Back
Top Bottom