Viwanda vya Pombe vipewe Ruzuku!

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Ikiwa vyama vya Siasa vinapewa Ruzuku. Iweje sekta inayoingiza Kodi kwa wingi hawapewi Ruzuku toka mfuko mkuu wa Taifa? Tatizo ni Nini? Tumechelewa sana!







 
Asubuhi yote hii unawaza pombe mkuu, punguza ulevi bwana.

NBπŸ˜›oint yako ina mashiko
 
Naungana na wewe sio bia tuu. Ukiwa mlipa kodi mzuri ata mwananchi wa kawaida upewe ruzuku
 
Vimeomba Kupewa ?

Kwanza kutokana na matatizo inayoleta (ikiwemo vyama vya Siasa) vianze kulipa na sio kupewa..., Yaani kama Pombe inavyolipa na vyenyewe hali kadhalika You Pay according to Your Strength kwahio CCM ilipe maradufu
 
Ruzuku ya nini wawape wauza mafuta ya magari ili tuweze kufika kwa wakati barπŸ˜€
πŸ˜€πŸ€£πŸ˜‚πŸ»πŸΊ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…