Ikiwa vyama vya Siasa vinapewa Ruzuku. Iweje sekta inayoingiza Kodi kwa wingi hawapewi Ruzuku toka mfuko mkuu wa Taifa? Tatizo ni Nini? Tumechelewa sana!
Kwanza kutokana na matatizo inayoleta (ikiwemo vyama vya Siasa) vianze kulipa na sio kupewa..., Yaani kama Pombe inavyolipa na vyenyewe hali kadhalika You Pay according to Your Strength kwahio CCM ilipe maradufu