Kibundi wa getto
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 455
- 877
E=35-44,D=45-54,C=55-64,B=65-74,A=75-84,A+=85-100.Kama nilivyokua nimesema ktk thread yangu ya awali kuwa alama "S" imefutwa.Lakin point za kujiunga vyuo vikuu zipo vilevile yani:A+=5,A=4,B=3,C=2,D=1 na E=0.5. Source:MAKAMISHINA WA ELIMU KUTOKA NECTA WALIKUJA KTK SHULE YA BENJAMIN NA KUFAFANUA
Noma sana...!chuo ni principle mbili with minimum point 2....,wakati huo unaambiwa E ni 0.5 duuh kazi sasa kwa PCM na PCB wazee wa E E F
but hope watalegeza kwenye ACSEE
mtazamoo tuu.
E=35-44,D=45-54,C=55-64,B=65-74,A=75-84,A+=85-100.Kama nilivyokua nimesema ktk thread yangu ya awali kuwa alama "S" imefutwa.Lakin point za kujiunga vyuo vikuu zipo vilevile yani:A+=5,A=4,B=3,C=2,D=1 na E=0.5. Source:MAKAMISHINA WA ELIMU KUTOKA NECTA WALIKUJA KTK SHULE YA BENJAMIN NA KUFAFANUA
Sasa wale form six waliomaliza kuanzia mwaka 2013 kushuka chini na hawakwenda vyuoni jee wataomba vyuo kwa mfumo upi?
Mkuu aafu hapo juu F sijaiona!
E=35-44,D=45-54,C=55-64,B=65-74,A=75-84,A+=85-100.Kama nilivyokua nimesema ktk thread yangu ya awali kuwa alama "S" imefutwa.Lakin point za kujiunga vyuo vikuu zipo vilevile yani:A+=5,A=4,B=3,C=2,D=1 na E=0.5. Source:MAKAMISHINA WA ELIMU KUTOKA NECTA WALIKUJA KTK SHULE YA BENJAMIN NA KUFAFANUA