Viwango vya CAF vyaiweka Yanga namba moja Tanzania.

Mmejitahidi kutalii,hongereni sana watani.
 
Juz barcelona alofungwa na alaves pia , ndio maajab ya mpira ee
mkuu Barcelona imehusika vp[emoji1] [emoji1] [emoji1] nazijua chuki zako na natambua leo watamani kuja kule jukwaani endapo BARCA itapoteza ila UNFORTUNATELY hilo halitowezekana[emoji2] [emoji2] [emoji2] utaendelea kuliona lile jukwaa kama ukoma


KUHUSU MSIMAMO WA HII CAF KUTOKANA NA MADA HUSIKA NAONA HAWA CAF NAO WASHAKUWA KAMA TWAWEZA
 
Nimetolea mfano kuwa bingwa alifungwa, sasa Madrid hajafungwa, bayern hajafungwa juventus pia haja fungwa ningetolea mfano gani hapo!!? nime ichagua by chance tuu.,sa kama barca ilifungwa kwanini tushangae yanga kufungwa!!
 
Reactions: PNC
Nimetolea mfano kuwa bingwa alifungwa, sasa Madrid hajafungwa, bayern hajafungwa juventus pia haja fungwa ningetolea mfano gani hapo!!? nime ichagua by chance tuu.,sa kama barca ilifungwa kwanini tushangae yanga kufungwa!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwa hyo hujaona timu nyingine ila ukaiona Barcelona tu au unatuchawia ili leo tupoteze??

NILITEGEMEA USEME MBONA AZAM KAFUNGWA MNASHANGAA NINI YANGA KUFUNGWA yani kuifananisha YANGA a.k.a wakubebwa na MABINGWA FC BARCELONA huko ni kukufuru [emoji41]
 
Kwakununua game hata namba 1 hamkai mnakwenda 1+ kabisa
 
Yanga wanafanana na Barca si kwa viwango bali kwakuwa wote ni mabingwa wa nch husika, vivyo hivyo Barca wanafanana na bingwa wa visiwa vya usheli sheli.
Sasa kama bingwa wa Spain ana fungwa na timu ilopanda daraja bingwa wa Tanzania kufungwa na timu kama stendi ni sawa. Point yangu iko hapoo
 
Reactions: PNC
ni kweli kuna aina ya kuifananisha Barcelona na yanga kama

1: zote vilabu vya mpira
2: zote zinachezwa na watu
n.k

ILA USIILINGANISHE NA MBELEKO F.C KWA KUWA ILITELEZA KUPOTEZA DHIDI YA TIMU NGUMU YA CELTA VIGO
 
ni kweli kuna aina ya kuifananisha Barcelona na yanga kama

1: zote vilabu vya mpira
2: zote zinachezwa na watu
n.k

ILA USIILINGANISHE NA MBELEKO F.C KWA KUWA ILITELEZA KUPOTEZA DHIDI YA TIMU NGUMU YA CELTA VIGO
Hamna kwa celta siwalaum mbona mwaka jana mlifungwa 4-1 mwaka huu 4-3 infact mme improve.
Mimi naongelea Alaves.
Nadhan mwisho wa siku ujumbe umefika , na Yanga wapongezwe
 
Reactions: PNC
Hamna kwa celta siwalaum mbona mwaka jana mlifungwa 4-1 mwaka huu 4-3 infact mme improve.
Mimi naongelea Alaves.
Nadhan mwisho wa siku ujumbe umefika , na Yanga wapongezwe
wapongezwe kutokana na hiyo CAF taasisi ya TWAWEZA[emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…