Viwango vya gharama za usafiri na mizigo kwa uzito na umbali

gambakhuffu

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2010
Posts
488
Reaction score
504
Asalaam Aleykhum,

napenda kuuliza kwa anayefaham mf. mtu umepangiwa kituo cha kazi na mwajiri anatakiwa akulipe kiwango cha fulani cha gharama kusafirisha mizigo yako kutoka ulipo. je, km kuna taarifa za viwango hivyo pamoja na umbali husika, msaada tafadhali mfano kwa tani 3 za mizigo kwa kilometa ni kiasi gani
 

Kufuatana na waraka mpya wa serikali kwa watumishi wa umma wa July 2009, gharama ya kusafirisha mizigo isiyozidi tani tatu ni Tshs 1,000.00 per km.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…