Viwango vya Ubora Ligi za Ulaya na Kumbukumbu nyingine

CPU

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
3,858
Reaction score
687


Hapo juu ndi timu zilizowahi kuwa mabingwa wa Ulaya tangu inaitwa European Champion Clubs Cup (sasa inaitwa UEFA Champions League) tangu 1956



Hapa juu ni Ubingwa wa Ulaya wa klabu - Nchi zilizochukua mara nyingi zaidi




Ligi Kuu zinazoongoza kwa bora barani Ulaya - mpaka ilipofika FEB 2011 ambao Ligi ya England ndo inaongoza kwa Ubora



Nchi zilizoongoza kwa ubora Ulaya na idadi ya miaka iliyoongoza


Timu zinazoongoza kwa kucheza UEFA Champions League mara nyingi tangu ilipoanzishwa mwaka 1992 (bila kushirikisha kabla ya hapo ambapo ilijulikana kama European Champion Clubs' Cup )




NB: LIGI KUU YA UJERUMANI ITAANZA KUSHIRIKI TIMU NNE (4) KTK UEFA CHAMPIONS LEAGUE KUANZIA MWAKANI SAMBAMBA NA LIGI ZA ENGLAND NA SPAIN BAADA YA KUPANDA KIWANGO HUKU LIGI YA ITALIA IKISHUKA KIWANGO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…