Viwango vya wachezaji kwenye Derby ya 23.10.2022

MKUU UNAJARIBU KUWAFUNDISHA VICHAA HESABU.
 
.......nimefanya rating kwa mapenzi...
Asante yameisha.
 
Kosa la kushindwa kumkaba Chama akatoa assist linamdiscredit
Tukikwambia umefanya "Love rating" ukubali Sasa. Okrah aliyefanya makosa zaidi ya 2 umepunguza 0.8, Job unayesema alifanya kosa moja la kutomkaba Chama umepunguza 4!
 
Tukikwambia umefanya "Love rating" ukubali Sasa. Okrah aliyefanya makosa zaidi ya 2 umepunguza 0.8, Job unayesema alifanya kosa moja la kutomkaba Chama umepunguza 4!
Umepunguza 2.8
 
Tukikwambia umefanya "Love rating" ukubali Sasa. Okrah aliyefanya makosa zaidi ya 2 umepunguza 0.8, Job unayesema alifanya kosa moja la kutomkaba Chama umepunguza 4!
Unaweza kuandaa rating yako ukampa Okrah hiyo unayotaka wewe.
Kosa la Job lilipelekea goli. Okrah hakufanya kosa lolote kiuchezaji. Hakupoteza mpira ulioleta hatari. Chance ambayo hakumpatia Chama pasi alifanya jambo sahihi. Kwenye mpira jambo sahihi ni kumshitukiza mpinzani kwa kufanya kile ambacho hategemei. Unapiga pale anapodhani unatoa pasi na unatoa pasi pale anapodhani unapiga. Siku zote tunamsifia chama kwa uchezaji wa aina hiyo.
Kama unataka nifanye rating kwa kuangalia atempt alizokosa mchezaji basi Mayele anastahili rating ya 3 kwa kuwa tu alikuwa uwanjani.
Mapenzi yako kwa Yanga yasifanye utake kila kitu kiwe in your favour.
Yaani ulitaka Job awe na Rating sawa na Okrah? Basi tufanye Okra ana 7.2 na Job ana 5.2
 
Mzamiru 8.2!!!??[emoji23] [emoji23] Kiungo anapiga pasi mkaa tu uwanjani, nyie hebu acheni masihara, mpira mlitizama pekee yenu [emoji23][emoji1787]
Duh.....we jamaa,hivi unaangaliaga mpira vema kweli?ukiona viungo wa timu pinzani hawajafanya kazi yao ipasavyo ujue ni kazi ya huyu mwamba.....
 
So uweke na ww zakwako
 
Duh.....we jamaa,hivi unaangaliaga mpira vema kweli?ukiona viungo wa timu pinzani hawajafanya kazi yao ipasavyo ujue ni kazi ya huyu mwamba.....
Alikuwa na pass accuracy asilimia ngapi? Mpira wa bongo ukitaka uone mbovu tizama marudio ndio utaona vituko, tazama mechi mara ya pili utaona mzamiru vituko vyake,box to box kazi yake sio kukaba tu, mnampamba kuwa mkabaji, ila hamuoni pia ni mpotezajo mzuri.
 
Kosa la kushindwa kumkaba Chama akatoa assist linamdiscredit
Kwanini makosa ya okra kushindwa kutoa pasi 4 za wazi hujampunguzia maksi,hivi unajua sisi yanga tunajua kuwa tungepigwa 4 kama si makosa ya okra.tena umempa man of the match.
Ajabu.huu uchambuzi wako unaonyesha wazi wewe ni shabiki wa simba
 
Ahsante Mkuu..sema mimi nimeunga hapo hapo kama hutojali..kwa kujumlisha wastani ili kupata wastani wa timu ili kujua nani alipata alama nyingi(Mimi Simba) hivyo nimepata kama ifuatavyo.
Yanga alama 84.3
Simba alama 89.8
Nilifuta alama za mchezaji mmoja wa Simba(6.2) ili kuleta uwiano wa wachezaji 13 kwenye uchambuzi wako...maana hapo uliwachambua Yanga wachezaji 13 na Simba 14.
Haya ni maoni yangu yaliyotokana na uchambuzi huu.
Ahsante
 
Tena hata yanga ikiwa chini zaidi ya hapo sio mbaya,hatukuwa kwenye form nzuri hata kidogo,tumepata matokeo nafuu kutokana na makosa ya wachezaji wa simba
 
Ndugu umefanya kazi nzuri ila hujamtendea haki tshabalala, maana jamaa amekuwa mzembe sana. Anapoteza mipira mingi na anakabika kirahisi. Alinitesa sana kila akiwa nampira ,fanya urudiekumtizama, anastahili 4.5
 
Duh.....we jamaa,hivi unaangaliaga mpira vema kweli?ukiona viungo wa timu pinzani hawajafanya kazi yao ipasavyo ujue ni kazi ya huyu mwamba.....
Mzamiru alifanya Fei na Aucho waonekane kama mabeki tu halafu mtu haoni kazi ya mzamiru
 

Hivi Mzamiru Nae Ni Mchezaji? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hauna tofauti na Prof Paramagamba Kabugi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…