Plot4Sale Viwanja 4 vinauzwa Mapinga kiharaka vimepimwa

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Nauza viwanja 4 vimepimwa vipo Mapinga eneo la kiharaka kimoja kina nyumba ya vyumba 3 kuna umeme wa Tanesco na kuna kisima kimechimbwa.Nyumba ya pili ina vyumba vi nne vya kupangisha.


Kama ramani inavyo onyesha ni kuanzia kiwanja namba 18-21.
Kwa anayehitaji anione kwa namba hii 0688300088
Karibu sana.

Samsung SH 8 Mobile Traveller
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…