Plot4Sale Viwanja Bei rahisi Km 17 kutoka Daraja la Kigamboni ( Vimepimwa )

kambitza

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2013
Posts
2,045
Reaction score
1,320
Eneo: Mkokozi

Wilaya: Mkuranga

Bei: Square Meter 1 - 12,000

Viwanja vipo mpakani kati ya Kigamboni na Mkuranga.....Kutoka daraja la kigamboni ni km 17 tu.

Viwanja vimepimwa yaani ukinunua moja kwa moja unaenda kukamilisha taratibu za kupata hati.

Ni Pm kama ukihitaji nitakupatia namba.
 
Kiwanja cha 15*20 kina square metre ngapi?
 
Miaka 10 iliyopita kulikuwa kuna tetesi ungejengwa uwanja wa ndege huko hivi bado lipo hilo wazo.
 
Nitafutie vijibweni au majirani at least 5 km toka darajani tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…