Plot4Sale Viwanja Dodoma lipa ndani ya miezi sita

Plot4Sale Viwanja Dodoma lipa ndani ya miezi sita

Good Neighbour

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2017
Posts
942
Reaction score
897
VIWANJA KWA MALIPO YA AWAMU
_______________________________
NIMEWALETEA VIWANJA KWA MALIPO YA AWAMU KATIKA ENEO LIITWALO MICHESE,NAOMBA TUIFAHAMU MICHESE KWANZA KWA KUSOMA MAELEZO HAYA
______________________
MICHESE-iko barabara ya Iringa karibu na hospital ya mirembe
_______________________________
KUPAKANA-michese inapakana na kikuyu,chidachi,kinyambwa extension na itega
______________________________
UMBALI TOKA CITY CENTRE-kilomita 5.5 tu ila mpaka kufika kwenye viwanja vyetu ni 7.5Km,mwendo wa dakika 10 kwa gari toka mjini.anayekaa michese ni sawa na mtu anayeishi kisasa au nkuhungu kwa umbali
______________________________
MADHARI-kwa karibu zaidi inapakana na ITEGA(ambapo palitengwa na CDA kipindi hicho watu wanajenga maghorofa) hivyo mtu anayekaa michese ni sawa na mtu anayekaa karibu na msasani,masaki ama oysterbay kwa dar
________________________________
MIUNDO MBINU
#Barabara nzuri zinazopitika vizuri muda wote,iwe kiangazi au masika
#Huduma muhimu kama maji+umeme ziko karibu.
________________________________
KUPIMWA
-kumepimwa na manispaa wenyewe,ambapo mwezi May 2018 ilitengwa 5.8Billions kwaajili ya kupima iyumbu,nala,mtumba,michese,ihumwa,mahomanyika,kikombo na nzuguni
________________________________
NB-serekali kupitia manispaa iliuza viwanja sehemu zote walizopima na kuacha michese kuwa project ya mwisho sababu ya ukaribu zaidi na mjini kuliko sehemu zingine zote walizopima
________________________________
DOCUMENT
-viwanja vina in-voice inayokusaidia kupata hati moja kwa moja kwa jina lako kuepuka gharama za kufanya Transfer of title deed
_______________________________
UKUBWA WA VIWANJA
-Kwenye ramani vina doti na pia soma Jedwali,vinaanzia ukubwa wa 475sqm mpaka 700sqm

-unaweza kuunganisha pia
______________________________
BEI-kuanzia 2,920,000/=
____________________________
SIFA MUHIMU
-ARDHI NI TAMBARARE
-STANDARD GAUGE RAILWAY IMEPITA MITA CHACHE TOKA VIWANJA VILIPO
________________________
KWENDA KUONA NI BUREEEE+USAFIRI UPO
_______________________
SIKU ZA KWENDA SITE NI KUANZIA JUMATATU-J/MOSI SAA 3 KAMILI ASUBUHI MPAKA SAA 11 JIONI.

-KWA ANAYETAKA KUONA RAMANI TUWASILIANE

0767833496/ 0622111186

(Call+whatsap)
IMG_20201009_175339_963.jpg
IMG_20201009_175349_412.jpg
IMG_20201009_085852_4.jpg
IMG_20201009_091509_1.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom