Plot4Sale Viwanja Kigamboni

Viwanja bado vinapatikana eneo hilo? nahitaji chenye ukubwa wa 1000 sqm
 
Hivi viwanja havipo katika eneo lile la plan ya huo mji mpya? Si watu waliambiwa wasiendelee kujenga?
 
Serikali inahamia dodoma so viwanja dar vitakuwa bei rahisi kidogo let me wait. Na ukitaka kuwekeza kwenye ardhi kwa sasa wekeza dodoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…