viwanja_sales
Member
- May 10, 2023
- 18
- 10
Viwanja vya beach,umbali wake kutoka baharini ni ngapiKwa viwanja vya cheka na kimbiji huko karibu na bahari hati tunatoa bure yaani garama za hati tunazibeba sisi, ila kwa Mwasonga utachangia gharama za hati! Gharama ya hati ni laki3
Viwanja karibu na ferry ndio bei gani kwa sqm?Habari za leo, Tunauza viwanja vilivyopimwa kuanzia square meter 500 na kuendelea. Viwanja hivi vipo kigamboni Cheka, Mwasonga na Kimbiji.
—Kwa Mwasonga square meter1 ni elf5
—Kwa cheka square meter1 ni elf 15
—Kwa kimbiji square meter1 ni elf20 (Karibu na bahari)
Ukinunua kiwanja kwetu tunakupatia hati yako! Tuna viwanja vya beach pia tuna viwanja vilivyopo karibu na feri! Karibuni sana🙏. Wasiliana nasi 0746853161 ipo wasap na normal call pia!
View attachment 2625536View attachment 2625537View attachment 2625538View attachment 2625539
Sqm1 elf20 vipo cheka, kutoka cheka stend hadi kwenye viwanja ni km2 na barabara zimechongwaViwanja karibu na ferry ndio bei gani kwa sqm?
Mita 400! Ni beach2Viwanja vya beach,umbali wake kutoka baharini ni ngapi
Ova
Je, Hati ni ya Wizara?Kwa viwanja vya cheka na kimbiji huko karibu na bahari hati tunatoa bure yaani garama za hati tunazibeba sisi, ila kwa Mwasonga utachangia gharama za hati! Gharama ya hati ni laki3
KIWANJA KINAUZWA KINAPATIKANA KIGAMBONI TUANGOMANahitaji kiwanja Kigamboni Mnadani mwisho Kibada kisiwe mbali wa zaid ya 2km kufika lami, kama unacho nicheki
Hii bei sijakuelewa. Waweza kuandika kwa ufafanuzi??Mita 400! Ni beach2