Plot4Sale Viwanja Kiluvya

alice pic

Member
Joined
Feb 4, 2020
Posts
31
Reaction score
6
Kampuni ya Property Investors Company inauza viwanja vilivyopimwa Na kutambuliwa na serikali.
Viwanja vipo Makurunge
Bei yake 12500 kwa mita mraba
Umbali ni Km 7 kutoka barabara ya Morogoro
Wahi Sasa bei inapungua vilevile utalipia kwa miaka 2 (miezi 24).
Ofisi zetu zipo Dar es Salaam, Ubungo nyuma ya Ubungo Plaza.

Wasiliana nasi kwa namba 0621399079
Karibu sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo zuri la kulipa kidogokidogo. Katikati ya malipo kiwanja hakiwezi kupewa mtu atakayelipa "Cash" na mnunuzi wa kudunduliza kurudishiwa hela zake?

Na pia naona kama vile mita moja ya mraba inauzwa tofauti kutegemeana na ukubwa wa kiwanja. KWA NINI vyote havina bei sawa kwa mita moja ya mraba?
 
Pata kiwanja Kiluvya Makurunge
Kiwanja kimepimwa
564 squaremeters
Kipo Km 7 kutoka Kiluvya madukan
Lipia 290000/=Tsh kwa muda wa miaka 2.

Wahi Sasa.
Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu Ubungo, Nyuma ya Ubungo Plaza.
Au piga simu namba 0621399079.
Na WhatsApp namba 0621399079.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…