Plot4Sale Viwanja Morogoro

NAKA 7

New Member
Joined
Nov 3, 2013
Posts
4
Reaction score
1
Viwanja vinauzwa mkundi sheli vina sifa zifuatazo:-
1: vimepimwa
2: umeme upo karibu
3: vipo karibu na hospitali ya wilaya
4: vipo karibu na huduma za maduka makubwa
5: vipo karibu na mashule mbali mbali
6: sehemu vilipo pamejengeka vizuri nyumba za hadhi
7: ardhi ni tambarale hutaingia gharama za ujenzi wa msingi .
8: bei ni kuanzia milion 5 na laki mbili kwa kiwanja chenye ukubwa wa sqm 694 au 20 kwa 37, vipo viwanja hadi vya sqm 1000 au 27 kwa 41\

Wasiliana kwa 0652644084/0734443403


 
Mkuu, una maeneo ambayo yamepangwa kwa ajilli ya matumizi ya huduma za kijamii Mfano.. Huduma za Afya? Hapo Manispaa Morogoro.
Kama ni NDIO... Naomba kujua Rate ya bei na eneo liko wapi.
 
Nyumba inauzwa morogoro maeneo ya chamwino 10M

Kwa mawasiliano 0719534334 ( muuzaji/ mwenye nyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…