Plot4Sale Viwanja tunauza kwa mkopo Kigamboni

Joined
May 8, 2021
Posts
34
Reaction score
18
Hii sio ya kukosa viwanja vipo mwembe mdogo Kigamboni vina ukubwa wa mita
Kuanzia 20×20 na kuendelea Bei ml 5 pia
Unasikilizwa mteja malipo asilimia 50
Kilicho baki ndani ya miezi mpaka 3 tucheki 0713672719/0744672719


 
viwanja vipo cheka kigamboni
Vina ukubwa tofauti vipo karibu
Na chuo cha Afya na Biashara
Unaweza Jenga hostel ukapiga pesa
Bei kuanzia milioni tatu na laki tano
Tu ml 3.5 nicheki 0787672719
0744672719

 
Umbali wa kilometa ngap kutoka ferry?
Vina ukubwa gan??
Vipo umbali wa kilometa ngap kutoka barabara kuu ya kimbiji/ferry?
Vimepimwa??
Vina hati??
 
Umbali wa kilometa ngap kutoka ferry?
Vina ukubwa gan??
Vipo umbali wa kilometa ngap kutoka barabara kuu ya kimbiji/ferry?
Vimepimwa??
Vina hati??
Vipo kilometers 19 kutoka ferry
Mita 300 toka barabara kuu na
Tumevikata havina Hati jukumu la upimaji la mnunuzi kulipia upimaji shirikishi
 
Ukubwa wa viwanja hujaweka wazi mheshimiwa
 
Viwanja vimebaki vichache vipo cheka Karibu na chuo Cha Silva njoo uwekeze
Kwa kujenga hostel Bei ya viwanja kuanzia
Milioni tatu na laki tano tu na kuendelea
Ukubwa mita 20×15 na kuendelea unaweza unganisha pia nicheki
0713672719
0787672719

 
Viwanja vipo Gezaulole kigamboni
Vina ukubwa tofauti vishafanyiwa
Upimaji bado Hati tu Bei 27000 kwa
Sqm moja hii Ina jumuisha na garama
Za kulipia Hati nicheki 0713672719
0787672717
 
KIGAMBONI in general ingekuwa sehemu NZURI sn ya kuishi kama halimashauri ya Wiliya ya kigamboni ingekuwa na mikakati mizuri ya kuiplan vizuri wilaya yote ya kigamboni lkn ndio hivyo tena kwenye miti hakuna wajenzi kwani sehemu kubwa ya kigamboni nyumba zipo mafungo mafungo utafikiri hamna serikali bwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…