Plot4Sale Viwanja Vigwaza Kwala Pwani vinauzwa

Plot4Sale Viwanja Vigwaza Kwala Pwani vinauzwa

Ochumeraa

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2015
Posts
4,505
Reaction score
5,715
Ni Property Investors Company (PIC) inauza Viwanja vyenye sifa zifuatazo:
[emoji736] Viwanja vipo Vigwaza Mkoa wa Pwani karibu na bandari kavu ya Kwala.
[emoji736]Vipo umbali wa km6 toka Vigwaza Mizani. [emoji736]Ni Viwanja vizuri Kwa biashara na makazi. [emoji736]Bei rafiki cash 2,500/SQM na kwa installment bei 3,000/SQM.
[emoji736] Viwanja vimepimwa tayari na hati utapata. [emoji736]Huduma za kijamii zimeshafika site.
[emoji736]Site tunatembelea kila siku hakuna charge. [emoji736]Tuna miradi mingine maeneo ya Misugusugu Kibaha, Vikawe-Kimele Baobab, Pangani Kibaha Maili moja, Madale Mivumoni,Bunju Mji mpya, Mbutu Kigamboni,Cheka Kigamboni,Mwongozo Kigamboni... Dodoma tuna viwanja maeneo ya Chamwino Ikulu,Mtumba, Msalato Airport, Kitelela, Mahoma Makulu,Nala Ringroad,Nala Chihoni.
[emoji736] Ofisi zetu zipo nyuma ya Ubungo plaza na Kwa Dodoma tupo Capital city mall.
[emoji736]Call/SMS/WhatsApp: 0686601716
IMG_20221104_081623.jpg
IMG_20220906_170959.jpg
IMG_20221104_081506.jpg
 
Back
Top Bottom