Wajumbe wilaya hii ni mpya imezaliwa kutoka wilaya ya handeni, mradi wao unaviwanja 570 bei yao ni tsh 500 kwa square mita wametangaza kwenye magazeti simu zilizoandikwa kwenye magazeti za maafisa wanaohusika wa ardhi ni o787737616 au 0653792114 au 0756332665 haya wajasiliamali mshindwe nyinyi mimi nimeshamwaga maopportunity hayo someni gazeti la mwananchi