70*70=4900*500=2,450,000/= heka moja hiyo mkuu.sasa mkuu hekta 1 ni squre mita ngapi? Nahitaji nusu hekta
70*70=4900*500=2,450,000/= heka moja hiyo mkuu.
Hapo haujamsaidia huyu mtu! Umempatia jibu la heka yaani Acre ilhali yeye anataka jibu la hekta yaani Hectre. Ukumbuke kuwa hectre ni kubwa kuliko acre.
Hapo haujamsaidia huyu mtu! Umempatia jibu la heka yaani Acre ilhali yeye anataka jibu la hekta yaani Hectre. Ukumbuke kuwa hectre ni kubwa kuliko acre.
Naomba nitofautiane na wewe kama nitakosea nirekebishwe.70*70=4900*500=2,450,000/= heka moja hiyo mkuu.
70*70=4900*500=2,450,000\= heka moja hiyo mkuu.
Naomba nitofautiane na wewe kama nitakosea nirekebishwe.
Eka (acre) moja sio
sqm 4900, ni pungufu ya hapo "equal or less than 4200sqm".
Pia naamini ni "Eka" (acre) na sio "Heka".
Kusema eka ni 70 x 70 sijui ilianzaje/imetoka wapi ila nakubali kuwa ndivyo wengi wanavyopima maeneo yao BUT huwa wanahesabu hatua za miguu ambazo huwa ni + or - 1 meter.
Nawasilisha