Plot4Sale Viwanja vinakopeshwa

Joined
Sep 27, 2019
Posts
17
Reaction score
7
Kampuni ya uuzaji na upimaji wa viwanja ya MAKAZI SOLUTION iliyopo Kinondoni TX inapenda kukutangazia kuwa vuwanja vya mkopo wa kuanzia mwaka mmoja na nusu vinapatikana kwa maeneo ya Kigamboni,Mvuti,Mbezi ya kimara,Kibaha misugusugu,Dodoma,Tanga na maeneo mengine mengi karibu sana kwa mawasiliano piga namba 0658107756
 
Bei?
Sample pics?
 
Kampuni ya MAKAZI SOLUTION LTD inayohusika na upimaji,urasimishaji pamoja na uuzaji wa viwanja inakutangazia kuwa viwanja vinapatikana kwa mkopo wa kuanzia mwaka mmoja na nusu
Viwanja vyetu vina ukubwa wa kuanzia square metres 400 na kuendelea na kila square metre moja inauzwa kwa sh.8500
Tuna viwanja maeneo ya Kigamboni,Mvuti,Mbezi ya kimara eneo la Kwembe nk
Kwa mawasiliano piga namba 0658107756
 
Nyinyi jamaa viwanja mnavyuza hamna hata hati...its pathetic...kampuni nyingi hz zinazouza ardhi mnafanya biashara kihuni huni sana

Sent from my SM-A510F using JamiiForums mobile app
 
Kampuni ya Makazi solution iliyosajiliwa na bodi ya mipango miji Tanzania inapenda kukufahamisha kuwa viwanja bado vipo maeneo mbali mbali siku ya jumamosi tarehe 12 October 2019 tutaenda kuona maeneo ya Kigamboni mwasonga pamoja na mvuti usafili ni bure karibu kwa mawasiliano piga namba 0658107756

Na pia kama unamiliki eneo ambalo halijapimwa tutafute tukupimie kwa bei nafuu sana wote mnakaribishwa
 
Karibu tukumilikishe ardhi iliyopimwa kwa mkopo wa kuanzia mwaka mmoja na nusu mpaka miaka mitatu
Mteja utaruhusiwa kulipa kidogokidogo na pia utaruhusiwa kukitumia hicho kiwanja wakati unaendelea kulipa
Viwanja viko maeneo tofautitafauti hapa Dsm na nje ya Dsm
Kwa maeneo ya Dsm tupo Mbezi kimara eneo linaitwa Kwembe,tupo Kigamboni,tupo kibaha misugusugu,tupo pia na Mvuti njia panda ya Chanika
Kumbuka viwanja vyote vimepimwa na ramani zake zipo na zimesajiliwa na bodi ya mipango miji Tanzania
Ofisi zetu zipo Kinondon Dar es salaam opposite na kanisa katoliki la Pinda
Kwa mawasiliano piga namba
0658107756

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari
Kampuni ya urasimishaji,upimaji pamoja na upangaji wa ardhi iliyosajiliwa chini ya Bodi ya mipango miji Tanzania inawakumbusha kuwa viwanja bado vipo
Viwanja vipo maeneo ya Mbezi ya kimara eneo la Kwembe, Mvuti njia panda chanika,Kigamboni,kibaha na maeneo mengine
Bei kwa 1M² inaanzia shilingi 7000 mpaka 8500
Viwanja vinauzwa kwa mkopo wa kuanzia mwaka mmoja na nusu mpaka miwili
Na pia ukianza kukilipia kiwanja utaruhusiwa kuanza kukitumia
Kwa mawasiliano piga namba 0658107756

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa taarifa, Ila wadau wengi wanakimbilia makao makuu ya nchi,huko dar uuzaji wa viwanja utasubiri kidogo pia punguza bei per square meter
 
Viwanja bei zake kwa 1M² zinatofautuana kulingana eneo na eneo ndio maana nimeweka mawasiliano ili kama ukitaka maelezo zaidi utupigie au kutuma message
Sema kwa maeneo ya hapa Dsm bei ya chini kwa 1M² ni 7000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kampuni ya MAKAZI SOLUTION inayohusika na upimaji,urasimishaji na upangaji miji inakukakaribisha kukopa kiwanja kilichopimwa kwa kuanzia mwaka mmoja mpaka mitatu.

Viwanja vipo maeneo ya Kibaha, Bagamoyo, Kigamboni, Mvuti, Kibwegere, Mbezi ya Kimara na maeneo mengine mengi fika ofisini zetu zilizopo Kinondon Dar es Salaam au kwa mawasiliano piga namba
0658107756 au 0788597559

NB viwanja vyote vimesha pimwa na ramani zake zipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…