Plot4Sale Viwanja vinauzwa being chee

Sijui kwanini tunakimbilia sana kutaka kupigiwa simu??
Tulia chini andika vizuri,toa maelekezo ya kutosha kuhusu biashara unayotaka kufanya.Ukitoa maelezo yanayojitosheleza Kwa mfano vina hati au la/vimepimwa vinauzwa kialali au kimagumashi/wewe ni dalali au mmiliki wa viwanja, vipo vingapi??
Ukiweka hayo sawa utapata simu za wateja kweli maana kila kitu kitakuwa kimeelezwa.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…