KIMARA BRIDGE
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 262
- 270
mimi siyo muhuni wewe kijana, halafu usiniweke kwenye level yako jaribu kuwa na adabu kidogo, naomba uendelee na biashara yako lakini siyo unaanza provocation.Sasa hapo unachodauti ni kitu gn alaf hii ID sio ngeni kwangu ww unaparticle za kanjanja huna nia tulishawasiliana lkn fix nying kwahy mkuu kaa kwa kutulia km hauna nia na kiwanja acha mafix ya kitoto na kunichosha
mimi siyo muhuni wewe kijana, halafu usiniweke kwenye level yako jaribu kuwa na adabu kidogo, naomba uendelee na biashara yako lakini siyo unaanza provocation.
😂😂😂😂😂😂 umempeleka kaburini kabisa akirudi ni PM mkuuusiwe unajitia kila kitu unajua kaa kwa kutulia sio unaparamia paramia tu watu ovyo na kuanza kuleta madebate yako ya kitoto,alaf hizo level!level gan ambazo unazo ww mpk unitishe nazo mzee km kitu hauna nia nacho kaa pemben ww nakujua fika HUNA LOLOTE
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umempeleka kaburini kabisa akirudi ni PM mkuu
Ramah eid, jikite kwenye biashara yako tu jukwaa lina watu wengi na wa namna tofauti. Ila ungeweka namba moja kwa moja ingekuwa poa tu maana si wote wana ID hapa JF. Ushauri tu mkuu.Huyu jamaa anazingua sana alishanichomesha nikapoteza mda wangu na pesa yangu bure bado tena anajifany kuuliza yeye kasahau wakat namkumbuka sana
Ramah eid, jikite kwenye biashara yako tu jukwaa lina watu wengi na wa namna tofauti. Ila ungeweka namba moja kwa moja ingekuwa poa tu maana si wote wana ID hapa JF. Ushauri tu mkuu.
achana na mimi tapeli wewe, endelea kuwatapeliwa wajinga, weka namba yao ya simu ili tutambuane zaidiusiwe unajitia kila kitu unajua kaa kwa kutulia sio unaparamia paramia tu watu ovyo na kuanza kuleta madebate yako ya kitoto,alaf hizo level!level gan ambazo unazo ww mpk unitishe nazo mzee km kitu hauna nia nacho kaa pemben ww nakujua fika HUNA LOLOTE
achana na mimi tapeli wewe, endelea kuwatapeliwa wajinga, weka namba yao ya simu ili tutambuane zaidi
wanaume wanaongea mara moja tu, ila kwa kuwa wewe ni mtoto wa dar unataka kusafishwa mtaro. wewe ni mwanamke?Mbona hasira!!kwan numb za simu ulinyimwa si ulipewa ww ukaishia kujifanya chekbob kumbe kitumbua tu!mm nakuchana ukwel ww watu wapo seriouz na biashara ww unaleta mambo ya kujimwambafy kujifanya unahela kumbe falaa tu mzee km kitu hauna nia nacho tuliza mshono usiwe km unawashwawashwa siku nyingn nitakutia mdole wa jicho unione mm mbaya kaa mbali na nyuzi zangu kumbuka hujaitwa hapa
Viwanja vipo kigamboni mwembe mdogo karibia na chuo cha afya kigamboni,
Mita 35*35 vipo 4
Bei ni mil 5.5
Pia ukihitaji heka inapatikana hapo hapo
Karibuni sana
View attachment 1775166
View attachment 1775167
View attachment 1775168
View attachment 1775169
We jamaa kelele nyiiiiiiiiingi, kwanini unaogopa kuweka no yako hapa watu wakutafute mpk utume pm?? Unaogopa kitu gani wkt ww ni mfanyabiashara??Mbona hasira!!kwan numb za simu ulinyimwa si ulipewa ww ukaishia kujifanya chekbob kumbe kitumbua tu!mm nakuchana ukwel ww watu wapo seriouz na biashara ww unaleta mambo ya kujimwambafy kujifanya unahela kumbe falaa tu mzee km kitu hauna nia nacho tuliza mshono usiwe km unawashwawashwa siku nyingn nitakutia mdole wa jicho unione mm mbaya kaa mbali na nyuzi zangu kumbuka hujaitwa hapa
hizo ndiyo akili za madalali wanaongea (wanachonga )sana kuliko wanawake siku hizi, hawatoi details za maana kazi kutapeli tu. Halafu ndiyo kwanza hana miezi sita kwenye forum.We jamaa kelele nyiiiiiiiiingi, kwanini unaogopa kuweka no yako hapa watu wakutafute mpk utume pm?? Unaogopa kitu gani wkt ww ni mfanyabiashara??
Mnapokea installment?
wanaume wanaongea mara moja tu, ila kwa kuwa wewe ni mtoto wa dar unataka kusafishwa mtaro. wewe ni mwanamke?
We jamaa kelele nyiiiiiiiiingi, kwanini unaogopa kuweka no yako hapa watu wakutafute mpk utume pm?? Unaogopa kitu gani wkt ww ni mfanyabiashara??
hizo ndiyo akili za madalali wanaongea (wanachonga )sana kuliko wanawake siku hizi, hawatoi details za maana kazi kutapeli tu. Halafu ndiyo kwanza hana miezi sita kwenye forum.
hizo ndiyo akili za madalali wanaongea (wanachonga )sana kuliko wanawake siku hizi, hawatoi details za maana kazi kutapeli tu. Halafu ndiyo kwanza hana miezi sita kwenye forum.
kumbe huna pipe??? sasa njoo kimara nikusafishe mtaro na pipe yangu mtoto wa dar.Alaf tambua mm sio dalali hilo lieke akilini kwako ww tapeli na muongo muongo ningekuwa nina pipe ningekuchapa ya materrcal
kumbe huna pipe??? sasa njoo kimara nikusafishe mtaro na pipe yangu mtoto wa dar.