Plot4Sale Viwanja vinauzwa maeneo mbalimbali

Seyd King

Member
Joined
Sep 26, 2021
Posts
17
Reaction score
15
Karibu Katika Mradi Mpya wa Viwanja Maeneo Ya Mvuti Km4 Kutoka Chanika Kwenda Mbagala Mradi Upo Mt 350 Kutoka Barabara Kubwa Ya LAMI

Bei Ni Tsh, 7000/= Kwa Mita 1 Ya Mraba
Na Vimepimwa Kuanzia Sqm 400 Hadi 1800

Kumbuka Sio Viwanja Vya Kienyeji
[emoji437]Vimepimwa na Vina Mawe ya Serikali (Beacon)

Mradi Upo Uwanda Wa Juu
[emoji610]Viwanja Vinatazamana na Shule Ya Msingi.

Kwa Mawasiliano Zaid Piga Simu no, 0654-475 472 / 0623-396955

seydsanga@gmail.com
 

Attachments

Asante kwa taarifa.

Ila kuna attchments hazionekani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Karibu Katika Mradi Mpya wa Viwanja Maeneo Ya Mvuti Km4 Kutoka Chanika Kwenda Mbagala Mradi Upo Mt 350 Kutoka Barabara Kubwa Ya LAMI

Bei Ni Tsh, 7000/= Kwa Mita 1 Ya Mraba
Na Vimepimwa Kuanzia Sqm 400 Hadi 1800

Kumbuka Sio Viwanja Vya Kienyeji
[emoji437]Vimepimwa na Vina Mawe ya Serikali (Beacon)

Mradi Upo Uwanda Wa Juu
[emoji610]Viwanja Vinatazamana na Shule Ya Msingi.

Kwa Mawasiliano Zaid Piga Simu no, 0654-475 472 / 0623-396955

View attachment BLOCK2_NN.pdfView attachment BLOCK10_NN.pdf
 
[emoji419][emoji3533]THE KING PROPERTY
Inawaletea Mradi Mpya Wa Viwanja Bora Vilivyopimwa (APPROVED) Kwa Ajili Ya Makazi na Biashara

[emoji1485] Ni Mvuti KIDOLE Mita 350 Kutoka Barabara Kuu Ya Lami ya Mbagala Kwenda Chanika

Eneo Lipo Ukanda wa Juu Kabisa Na Panafikika Kwa Urahisi Kabisa

[emoji419][emoji95]Viwanja Vimepimwa na Vimepata Idhini Ya Wizara Ya Ardhi (APPROVED) Ni Halali Kwa Matumizi Ya Makazi

Barabara na Mitaa yake ni Mipana Sana.
Umeme Umefika Na Vinatazamana na Shule Ya Msingi

Vimepimwa Kuanzia Sqm 400/600/800 na Kuendelea Hadi 1800

Bei Ya Mita Moja Ya Mraba Ni Tsh7000/=
1Sqm@7000/=

Na Malipo Ni Cash Au Installment Kwa Kuanzia Na 50% Na Kukamilisha Ndani Ya Miezi Mitatu 3

Uhakika Wa Hati 100%

Ofisi Zetu Zinapatikana Mjimwema Kigamboni Dares salaam

[emoji610][emoji338]Simu no, +255654 475 472. ]

[emoji610] [ +255623 396 955
 
Hati mnayotoa ni ya wizara ya ardhi au ya kimila (serikali ya mtaa)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viwanja chini ya 400sqm si vimepigwa marufuku?
Ni Kweli Kuna Tamko Alilitoa Mh, Waziri Lakini Litaanzia Pale Walipotoa Tamko

Lakini Kama Tayari Una APPROVE Kutoka Wizarani Maana Yake Umeruhusiwa

Ni Wizara Yenyewe Ndio Iliyotoa Approve Cha Msingi Zingatia Kwamba Tamko Ni La Waziri Na Approve Iliatoka Wizarani.

Kifupi tu Tuheshim Tamko La Waziri Na Pia Tuheshim Kibali Kutoka Wizarani Kwake.

Viwanja Ni Halali
 
Karibu Sana
MRADI MPYA WA VIWANJA BORA (APPROVED) MVUTI {KIDOLE}

[emoji419][emoji3533]THE KING PROPERTY
Inawaletea Mradi Mpya Wa Viwanja Bora Vilivyopimwa (APPROVED) Kwa Ajili Ya Makazi na Biashara

[emoji1485] Ni Mvuti KIDOLE Mita 350 Kutoka Barabara Kuu Ya Lami ya Mbagala Kwenda Chanika

Eneo Lipo Ukanda wa Juu Kabisa Na Panafikika Kwa Urahisi Kabisa

[emoji419][emoji95]Viwanja Vimepimwa na Vimepata Idhini Ya Wizara Ya Ardhi (APPROVED) Ni Halali Kwa Matumizi Ya Makazi

Barabara na Mitaa yake ni Mipana Sana.
Umeme Umefika Na Vinatazamana na Shule Ya Msingi

Vimepimwa Kuanzia Sqm 400/600/800 na Kuendelea Hadi 1800

Bei Ya Mita Moja Ya Mraba Ni Tsh7000/=
1Sqm@7000/=

Na Malipo Ni Cash Au Installment Kwa Kuanzia Na 50% Na Kukamilisha Ndani Ya Miezi Mitatu 3

Uhakika Wa Hati 100%

Ofisi Zetu Zinapatikana Mjimwema Kigamboni Dares salaam

[emoji610][emoji338]Simu no, +255654 475 472. ]

[emoji610] [ +255623 396 955
 
Jumamosi Naweza Kuja Kuangalia Mazingira Lakini Niambie Kabisa Tayari Mawe ya Beacon Yameshawekwa Na Approve IpoTayari Mkuu?
 
Jumamosi Naweza Kuja Kuangalia Mazingira Lakini Niambie Kabisa Tayari Mawe ya Beacon Yameshawekwa Na Approve IpoTayari Mkuu?
Muda Wowote Boss Wangu Hadi Juma Pili Pia Tunakuwepo
Na Kuhusu Approve Ioo Ya Wizara Kabisa Sisi sio Wahuni Mkuu Njoo Ujipatie Kiwanja Utakuwa Balozi WETU Mzuri JF
 
Kuna Umbali Gani Kutoka Barabara Juu Ya Lami?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…